Nahisi simpendi mke wangu

Nahisi simpendi mke wangu

pole sana kwa yaliyokukuta wewe ndiye unayejua ni kiasi gani unaumia .. na ni kiasi gani unapata maumivu ya moyo... maamuzi yako yaweza kuwa sahihi japo bado inakubidi ukubaliane na jamii itakuchukulia vibaya .... kumwacha ni moja na ni sahihi lakini pia je watoto wenu wataishije uwe tayari kutoa matunzo ya mtto....

Na pia sikushahuri kukimbilia kuoa mke mwingine kumbuka kuoa ni masaa macahache sana ila ila impact itaweza last for more than a years...... make sure unafanya uwezalo upate upate furaha yako......usisikilize jamii zaidi lazima lawama zitakuja kwako ila kubaliana ni yatakayokuja mbele yako.................

narudia tena wewe ndiye unayejua moyo wako umejeruhika kiasi gani ... jamii itakushauri bla bla nyingi... ukweli unaujua moyoni mwako...

Miss chagga, miss chagga miss chaggaaa! Bado hatujasikiliza upande wa pili jamani. Mwambie amlete hapa tusikie pia. Si umesoma heading anahisi hampendi. Maana yeye pia anashida ila ngozi ni kuvutia kwako kwanza ili ubambe vizuri jamani.
 
Miss chagga, miss chagga miss chaggaaa! Bado hatujasikiliza upande wa pili jamani. Mwambie amlete hapa tusikie pia. Si umesoma heading anahisi hampendi. Maana yeye pia anashida ila ngozi ni kuvutia kwako kwanza ili ubambe vizuri jamani.

Hapana jamaa anavyoeleza i can feel it acha tu jaman
 
Hapana jamaa anavyoeleza i can feel it acha tu jaman

Mnuso wangu wa sita unanipa shida kuamini kilicholetwa hapa angalao kwa asilimia fulani. Miaka 10, watoto 3, shida imeanza kabla ya ndoa, ..... sawa! Ana digrii, ametafuta mke wa nyumbani, anakiwanja lkn watagawana nyumba.... sawa! Mbona yote yanamwelekea mwanamke tuuuuuuu? Mbona hausikii kero za upande wa pili. Asimwache bhana aende ampigie magoti aliyomkosea, mbona mke shegga kabisa!
 
watu wengine mpaka yawakute ndo wanajifunza
Yaani huyu jamaa anataka afe kwanza ndo ajifunze...

#Ridiculous
Kaka The Magnificent akifa atajifunzaje?
Unajua cha msingi ni jamaa kufanya maamuzi magumu pasipo kuangalia sijui nani atasema nini kwasababu hao hawajui mambo ambayo anayapitia ndani ya nyumba yake
Huyo mwanamke ana washauri wabaya .amwachie vitu mbona vinatafutika cha maana ni uzima tuu.Apeleke watoto boarding ili kuepusha shida kipindi cha mwanzoni.
 
Last edited by a moderator:
wewe utakuwa shetani, kama sivyo basi unahitaji msaada wa haraka!!!!!!!!!!

uuuupsi kwa kipi labda....ulijuaje mm shetani kama hatupo wote kundi moja

jf kila mtu ana ruhusa ya kutoa maoni
nahitaji msaada wa wewe kupit kushoto na comment zangu
nyoooooo mbio mbio uje kama kimbunga cha india kwenye comment zangu
 
Mnuso wangu wa sita unanipa shida kuamini kilicholetwa hapa angalao kwa asilimia fulani. Miaka 10, watoto 3, shida imeanza kabla ya ndoa, ..... sawa! Ana digrii, ametafuta mke wa nyumbani, anakiwanja lkn watagawana nyumba.... sawa! Mbona yote yanamwelekea mwanamke tuuuuuuu? Mbona hausikii kero za upande wa pili. Asimwache bhana aende ampigie magoti aliyomkosea, mbona mke shegga kabisa!

haya ndio madhara ya kufikisha miaka 35 hujaoa huna mtoto na unakaa kwa wazazi......ushauri gani huu wewe kiaz
 
Mi nadhani huyu mshikaji nae ana yake...huyo dada anaweza reveal ya mkuu hapa ukashangaa...red flag #1 :kwa miaka yote 10 hujamuoa,u are wrong na the woman is mad on u about that,definetly,mtu kakuzalia,kakulelea kwa miaka kumi halafu umuoi?aisee lazima achanganyikiwe on that....red flag #2 :dada kalalamika michepuko,obvious utakua unahusika hapa...red flag3#:kuna mambo yapo family related kwa upande wenu,hayo na mke wa kwanza wa dingi yako,na kifo chake,nk,siri wanazijua wao na wewe labda,hapo nako ni another issue....
 
Mnuso wangu wa sita unanipa shida kuamini kilicholetwa hapa angalao kwa asilimia fulani. Miaka 10, watoto 3, shida imeanza kabla ya ndoa, ..... sawa! Ana digrii, ametafuta mke wa nyumbani, anakiwanja lkn watagawana nyumba.... sawa! Mbona yote yanamwelekea mwanamke tuuuuuuu? Mbona hausikii kero za upande wa pili. Asimwache bhana aende ampigie magoti aliyomkosea, mbona mke shegga kabisa!

Hivi wewe umeoa ? Kama bado mkuu achana na hayo aisee
 
Mkuu Sangarara, unaweza kupita hapa ukamshauri huyu ndugu!

Hahaha, salama lakini!!!

Anamaanisha kwamba anamchukia mke wake sababu hamridhishi kimapenzi au vipi? Mwanamke anaweza akapoteza mvuto wa kimapenzi kwa mume wake sababu ama hajui mapenzi, au kabadilika tu (why?), au amemuuzi mme wake kwenye mambo mengine sasa mpaka mvuto wa mapenzi umepotea.

Ikifikia hapo, acha tu kumfokea mbele za watu, ni hata kumtandika makofi mbele za watu bila sababu ya msingi inakuwa ni kawaida sana.
 
Unamsingizia YESU, kwani furaha ya mtu lazima iwe mikononi mwa mtu? Anaweza peke yake kabisa akajenga maisha anayotaka. Maana yangu ya kutohusisha kadhia hizi na mambo ya dini ni kuepuka kuji tangle kwenye web nyingine. This guy needs true salvation and it has to come from within sio katika illusions za watu wengine, once aki attain such freedom (with Jesus's help ofcoz) he can do whatever, hell, he can even walk on water! (pun intended)

Elizabeth hukuwa umesoma vizuri andiko langu la kwanza ndiyo maana ukanijia juu namtisha. Lakin suala la ndoa huwezi kulitenganisha na YESU ikiwa nje ya hapo ndiyo hivyo baadaye anaanza kulialia. nilichokuwa najaribu ni kumrejesha kwa mwasisi wa ndoa zote, wewe ukawaunag'ang'ana amwache. hata hivo kama nilikuwa nasingizia basi nilikuwa nasingizia yesu na siyo YESU labda kama huelewi kati ya YESU na yesu na hicho ndiyo kilichokufanya uhamaki
 
Wewe ni mpumbavu kweli!! Miaka kumi??! watoto watatu??! Yaani baada ya kumzeesha ndio umegundua humpendi au?! umejiita msomi wa digrii! Shenzy sana!!
 
haya ndio madhara ya kufikisha miaka 35 hujaoa huna mtoto na unakaa kwa wazazi......ushauri gani huu wewe kiaz

Hahahahaaaa, mi kiazi! Hakyanani umenichekesha sana bhana! Yaani kumbe ushauri mzuri ni kuharibu, haya ngoja nitoe ushauri wa kuharibu ili niwe na miaka 22 afu nimeoa, afu nipo kwangu nimejenga bangaluuu na wazazi wangu wako mbaali kama mwanza na mtwara. miss chagga.
 
Last edited by a moderator:
Kaka The Magnificent akifa atajifunzaje?
Unajua cha msingi ni jamaa kufanya maamuzi magumu pasipo kuangalia sijui nani atasema nini kwasababu hao hawajui mambo ambayo anayapitia ndani ya nyumba yake
Huyo mwanamke ana washauri wabaya .amwachie vitu mbona vinatafutika cha maana ni uzima tuu.Apeleke watoto boarding ili kuepusha shida kipindi cha mwanzoni.

Ndo na wewe ujiulize hapo akifa atajifunza vipi....

To be honest,huyu mwanamama mwenzenu dawa yake sio kumuacha...nina hakika akimuacha atapata matatizo 5x ya hayo ya sasa......
Dawa yake ni ndogo tu....she has to be killed!! ndiyo,anatakiwa afe! najua kuna watu wataniona katili sana kwa hili ninalolisimamia...but i am sure...asipompoteza huyu mwanamke ipo siku atapotezwa yeye.....after all he can decide....yeye ndo anaweza kuamua mustakabali wa maisha yake......mimi naumia tu kuona jamaa atapotezwa na anatafuta pesa kwa ajili ya kuishi vizuri,end of the day,hatofaidi chochote....to me,killing her will always be the best option....(kulingana na maelezo aliyoyatoa hapa jukwaani mtoa mada,unless kama kuna mengine ya upande wake kayaficha.....)
 
Nilifanikiwa kuoa miaka kumi iliyopita na katika maisha yetu ya wawili tumefanikiwa kupata watoto watatu, wote wa kiume.

Migogoro katika maisha yetu ilianza mara baada ya kuanza kuishi pamoja. Mimi na mke wangu tulianza kuishi pamoja kabla ya kufunga ndoa. Binafsi nilimpenda sana na nilitamani kumfanyia kila ninaloweza ili awe na amani na furaha.

Kiukweli tulianza kuishi kwa amani na furaha mpaka pale mke wangu huyu alipoanza chokochoko dhidi ya mama yangu. Alianza kuniambia kuwa mama yangu hampendi na wala alikuwa hataki aolewe na mimi na kisha akaanza kwashambulia wifi zake. Nilijiuliza maswali mengi na baade nikagundua kuwa ni maneno ya kutunga.

Kilichonifanya niamini ni baada ya kukumbuka kwamba mimi na mke wangu tumechukuana kwa maamuzi yetu binafsi (mimi siwashirikishi wazazi) na pili ni kwamba wazazi wangu wanaishi mbali na anapoishi huyo mwanamke, na tatu hapajawahi kuwa na mahusiano yoyote na wala mawasiliano yoyote baina ya familia hizi mbili.

Hapo nikaanza kumuona mke wangu kama mtu wa shari. Mke wangu nilimtoa bara kuja kuishi naye Dar es Salaam na nilitamani kuja kufunga nae ndoa.

Baada ya kuishi naye kwa mwaka mmoja jijini Dar es Salaam na tukiwa tumefanikiwa kupata mtoto mmoja tulipanga safari ya kwenda kijijini kuwasalimia wazazi pamoja na kujitambulisha kwao. Ilipofika Jumapili nilimwambia tutaenda kanisani na tutajitambulisha tukiwa pamoja ili kanisa litupokee na baadae tuanze mchakato wa ndoa.

Tulikubaliana kwa ajili ya hilo ila tulipofika kanisani kabla ya kuingia kwenye ibada huyu mwanamke akaniambia nisimtambulishe kanisani na wala nisijaribu kumtaja. Nilipatwa na hasira iliyoharibu ibada yangu na tuliporudi nyumbani ikawa ni ugomvi tu.

Mimi ni msomi mwenye digrii na mke wangu ni mama wa nyumbani. Niliamua kuoa mama wa nyumbani kutokana na nature ya kazi yangu inayonihitaji kuwa mbali na nyumbani kwa kipindi kirefu nikiwa kwenye camp.

Maisha yaliendelea hukutukiwa na migogoro isiyoisha kila mara akinituhmu kwa mambo mbalimbali, mara nyingine alinituhumu kuwa nina mke mwingine na nimemjengea nyumba na mara nyingine ananituhumu kuwa namuua kwa UKIMWI.

Sikujisikia vizuri na mara kwa mara nilikuwa naenda kupima ili awe na amani na kuna kipindi nilikuwa namchukua kwenda kupima ila yeye anachukua vipimo vingine na kukataa kupima UKIMWI.

Mimi huwa napima na majibu namuonyesha. Katika hali hizo nilijikuta maisha yangu nyumbani yanakosa furaha na mara kwa mara ni mizozo mara huu mara ule. Hata tendo la ndoa ilikuwa nadra kulipata kwa hiari na wakati mwingine nahisi ana mwanamume mwingine anayemzuzua.

Mbali na kuwa mbali kwa muda mrefu, muda mfupi tunaopata kuwa pamoja unakuwa na majonzi tele. Kuna kipindi nilisafiri kwa wiki sita 6 na niliporudi nikadhani mwenzangu amenikumbuka ila nilichokiona usiku ni kibaya. Tulienda kulala na alipojilaza tu akavunga amesinzia usingiz mzito, nilijaribu kumuamsha ila akavunga kufa. Nilijaribu kulala ila sikuweza kupata usingizi nikaamua kwenda kulala kwenye sofa sebuleni ili nijisikie niko safarini.

Kuna kipindi nilipoteza kazi akaniambia ameonyeshwa kuwa hayo ni mapigo na wala sitakaa nipate kazi tena. Wakati huo nilikuwa nimepata kiwanja hapa Dar es Salaam na nikiwa najipanga kuanza ujenzi.

Nilikaa mtaani miezi miwili na baadae nikapata kazi mpya. Baaada ya kupata nilimwambia nataka kuanza ujenzi, yeye aliniambia ni vema nikaacha kujenga kwani nitapata hasara.

Nilimuuliza hasara gani nitapata akasema hiyo nyumba itakuja kuuzwa ili tugawane hela. Mi nilimambia simsikilii yeye ila naangalia mahitaiji ya watoto wangu kwamba wanatakiwa kuwa na nyumbani kwao.

Nilibahatika pia kupata gari na siku moja nikiwa safarini peke yangu kwenye gari nilipata ajali ya kugongwa na gari nyingine. Bahati nzuri ni gari iliharibika ila mimi nilibaki salama.

Baada ya tukio hilo siku moja tukiwa kwenye mzozo alinitolea neno kali kuwa nilipata ajali kwa maombi yake. Anadai aliomba nikipakia mwanamke kwenye gari yangu nipate ajali. Nilijisikia kumrukia nimle nyama mbichi lakini nikajizuia.

Mizozo imekuwa mingi mpaka najisikia kumtapika, sina amani wala furaha niwapo

10687070_10152667847947482_1169843725947395622_n.jpg
 
uuuupsi kwa kipi labda....ulijuaje mm shetani kama hatupo wote kundi moja

jf kila mtu ana ruhusa ya kutoa maoni
nahitaji msaada wa wewe kupit kushoto na comment zangu
nyoooooo mbio mbio uje kama kimbunga cha india kwenye comment zangu

Mbona unahamak dada??? kwani shetani ni mbaya? kama kweli unaliona hilo kuwa shetani ni mbaya mbona ulimshauri mwenzio kutenda jambo la kishetani na ukawa unadhani unamhari vyema
 
dah.! Watu mnatunga hadithi jamani, lol..
 
Wewe ni mpumbavu kweli!! Miaka kumi??! watoto watatu??! Yaani baada ya kumzeesha ndio umegundua humpendi au?! umejiita msomi wa digrii! Shenzy sana!!

Ninajua kutunza mwanamke, ukikutana nae kama hajabeba watoto utasema ni binti hajazaa. Watu huwa hata hawaamini kama hao watoto kawazaa yeye, angekuwa amechoka angekuwa mtulivu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom