Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,012
Pole sana mkuu, kuna swali najiuliza ambalo sijaona jibu lake humu, huyo mwanamke mlifunga ndoa?
Maisha ni yako kaka, hela unatafuta mwenyewe kaka, kama mtu haeleweki ndani ya miaka 10 ataeleweka lini tena? watoto wote watatu bado wadogo ila wa kwanza na wa pili nahisi wanaweza kujihudumia vizur sana
Cha msingi angalia Moyo wako unataka nini, watu wengine wanakuaga wametumwa na shetan kuwaharibia watu, au kukuondolea aman tu, Mwanamke rudisha kwao, tafuta dada wa kazi akusaidie kulea wanao mpaka watakapo kua ndio ufikirie kuoa mwingine, kwa sisi wa kristo dini hairuhusu kuachana ila kuna baadhi ya mazingira inabidi talaka ihusike, na mali za kugawana n mali mlizoshirikiana kutafuta kama kwenye uchumi wa familia hana mchango wowote anataka mali gani?
Utampa kiinua mgongo tu
Maisha ni yako kaka, hela unatafuta mwenyewe kaka, kama mtu haeleweki ndani ya miaka 10 ataeleweka lini tena? watoto wote watatu bado wadogo ila wa kwanza na wa pili nahisi wanaweza kujihudumia vizur sana
Cha msingi angalia Moyo wako unataka nini, watu wengine wanakuaga wametumwa na shetan kuwaharibia watu, au kukuondolea aman tu, Mwanamke rudisha kwao, tafuta dada wa kazi akusaidie kulea wanao mpaka watakapo kua ndio ufikirie kuoa mwingine, kwa sisi wa kristo dini hairuhusu kuachana ila kuna baadhi ya mazingira inabidi talaka ihusike, na mali za kugawana n mali mlizoshirikiana kutafuta kama kwenye uchumi wa familia hana mchango wowote anataka mali gani?
Utampa kiinua mgongo tu