Ninajua kutunza mwanamke, ukikutana nae kama hajabeba watoto utasema ni binti hajazaa. Watu huwa hata hawaamini kama hao watoto kawazaa yeye, angekuwa amechoka angekuwa mtulivu sana.
Elizabeth hukuwa umesoma vizuri andiko langu la kwanza ndiyo maana ukanijia juu namtisha. Lakin suala la ndoa huwezi kulitenganisha na YESU ikiwa nje ya hapo ndiyo hivyo baadaye anaanza kulialia. nilichokuwa najaribu ni kumrejesha kwa mwasisi wa ndoa zote, wewe ukawaunag'ang'ana amwache. hata hivo kama nilikuwa nasingizia basi nilikuwa nasingizia yesu na siyo YESU labda kama huelewi kati ya YESU na yesu na hicho ndiyo kilichokufanya uhamaki
Ni stori ndefu nikisimulia jinsi tulivyoanzana, ila nahisi kuna kitu kilitumika kuingia kwenye dimbwi hili. Tangu nasoma O-Level nilikuwa nimejiwekea vigezo vya nani atakuwa mke wangu. Mpaka nikaviandika kwenye daftari. Juzi kati nikiwa nasoma kwenye library yangu nikakuta vigezo hivyo hivyo niliviandika nikiwa Chuo Kikuu, ia kilichotkea huwezi amini, uzuri wa sura na vingne vilinchaganya ama kulikuwa na nguvu ya ziada ya kunitoa akili.
Sijui kama hao wazee wataweza kubadilisha maisha ya huyu mwanamke kwani tumeshaongea na mama yake mara nyingi na kuahidiwa atabdilika. Lakini mpaka leo nasubiria mabadliko siyaoni. Mpaka hapa tunapozngumza ingawa mke wangu ni mama wanyumbani na tuna mfanyakazi nguo nanyosha mwenyewe kwa miaka yote. Taa ikiungua niko safarini nasubiriwa nije nibadili mwenyewe. Muda si mrfu nimepigiwa simu kuwa umeme umeisha nyumbani. Ninunue ilhali niko mikoani mingine yeye yuko ndani. Hela ninayomwachia ni nyingi nikisema hapa watu watadhan nafanya promo.
afadhali umekuwa friendly dada!!!!! sasa tunaweza kuongea!!!!! kama ni kutoa option nyingine unadhani ya kuachana ndiyo option sahihi?ndiyo maana nikakutaka ujiweke wewe kwenye hiyo nafasi uone kam ni rahisis kiasi hicho au the magnificent ikiambatana na ya mkonopaka walionishambulia mimi kupitia andiko lako kwangu uliloniambia namtisha. au ule ushauri wao eti amuue au ende pangani, kigoma Rufiji hao unasemajeKama sijakuelewa samahani na hata baada ya kukuelewa nitasema hivyo hivyo, hauwezi ukasema unamrejesha mtu kwa Yesu bila basis yeyote hapa nitaanza kukuuliza matatizo yake yatafumbuliwa vipi once "ukimrejesha" kwa Yesu?
Kutisha ni kumbana mtu na kumuonyesha hakuna option zaidi ya ulizompa ukidai ndio suluhu
jamani nini tena inabidi uwaache tu watuu kama hawaHahahahaaaa, mi kiazi! Hakyanani umenichekesha sana bhana! Yaani kumbe ushauri mzuri ni kuharibu, haya ngoja nitoe ushauri wa kuharibu ili niwe na miaka 22 afu nimeoa, afu nipo kwangu nimejenga bangaluuu na wazazi wangu wako mbaali kama mwanza na mtwara. miss chagga.
Mbona unahamak dada??? kwani shetani ni mbaya? kama kweli unaliona hilo kuwa shetani ni mbaya mbona ulimshauri mwenzio kutenda jambo la kishetani na ukawa unadhani unamhari vyema
afadhali umekuwa friendly dada!!!!! sasa tunaweza kuongea!!!!! kama ni kutoa option nyingine unadhani ya kuachana ndiyo option sahihi?ndiyo maana nikakutaka ujiweke wewe kwenye hiyo nafasi uone kam ni rahisis kiasi hicho au the magnificent ikiambatana na ya mkonopaka walionishambulia mimi kupitia andiko lako kwangu uliloniambia namtisha. au ule ushauri wao eti amuue au ende pangani, kigoma Rufiji hao unasemaje
ha ha ha ha ulitaka nimshauri akaa nae hadi kifo kimpate miaka 800?????
na ushauri wangu sio sheria mkuu......
sijawahi kuona shetani na wala sijui ubaya wa shetani....binadamu ndo wanafanya mabaya
mkonowapaka kan'tukana mi kiazi.jamani nini tena inabidi uwaache tu watuu kama hawa
Sample yangu tupo wachache sana na mimi ninakuhakikishia sipo kwenye hilo kundi la mabwege rafiki!!!! sasa nikuulize wewe rafiki hivi ule ushauri uliomshauri jamaa mwanzilishi wa mada hii unaukumbuka? ule wa yeye amuue huyo mke au sijui aende haraka Rufiji, kigoma pangani na wapi sijui ulikuwa unamaanisha akapate suluhsho kwa nani huko? au ndiyo unadhani ndiyo mzuri kuliko nilivyomshauri mimi halafu umemalizia kwa herufi kubwa rafiki "TUMSIFU YESU KRISTU". unamaaisha kuwa matatizo yetu tuyatatue wenyewe wa kwenda huko pangani nk au kumuua huyo mke?nikuulize tu rafiki hivi YESU uliyemtaja ana rangi mbili? yumkini na wewe unamtaja tu lakini humjui!!!! (usihamaki jibu tu maswali yangu yote nitakuelewa )watu sampuli yako ndi husababisha waTZ tuendelee kuonekana maBw.ege miaka hadi miaka.....
we mpaka mtu afe ndo ujue kuna tatizo hapo? haya mambo mengine YESU anapenda kuona tunayatatua wenyewe....sio kila kitu tumuachie yeye....
After all hapa sio kanisani,ya kaisari mpe kaisari,ya mungu mpe mungu....!!
TUMSIFU YESU KRISTU
ha ha ha ha ulitaka nimshauri akaa nae hadi kifo kimpate miaka 800?????
na ushauri wangu sio sheria mkuu......
sijawahi kuona shetani na wala sijui ubaya wa shetani....binadamu ndo wanafanya mabaya
mkonowapaka kan'tukana mi kiazi.