Nahisi nilimegewa

Nahisi nilimegewa

Kaka kwa kuoa mwanamke ambaye kazalishwa na MTU mwingine na huyo MTU yupo alive! Nna uhakika hutaishi kwa amani na mkeo. Huyo jamaa lazima atawasumbua sana. Halafu mwanamke kazaa na huyo jamaa, kalipiwa nauli mpaka Canada, unadhani huyo mwanamke atakuwa na guts za kumnyima jamaa? Kosea kujenga msingi na si kuoa kamanda
 
Kaka kwa kuoa mwanamke ambaye kazalishwa na MTU mwingine na huyo MTU yupo alive! Nna uhakika hutaishi kwa amani na mkeo. Huyo jamaa lazima atawasumbua sana. Halafu mwanamke kazaa na huyo jamaa, kalipiwa nauli mpaka Canada, unadhani huyo mwanamke atakuwa na guts za kumnyima jamaa? Kosea kujenga msingi na si kuoa kamanda

Duh!

Kwani nimeoa?
 
Hata ningekuwa mie ningekumegea tu yani kiporo kilivyo kitamu hivyo naanzaje kukikosa.....
 
  • Thanks
Reactions: kui
Unajaribu kutueleza kuwa upo Amerika ya Kaskazini au nini? Sioni shida ingine zaidi ya kusema uko utumwani

Bazazi Nimesema
 
I can't imagine my ex left me with 5 months pregnant with no care .. And then after the baby is 2 years old you call me and demanded that you want to see the child ambaye ulimua abounded since akiwa tumboni .. This is too cold .... Halafu sio kama unasema unaomba uje .. Kummtazama no nikupelekee kwako not the same states ni another country.. I honestly wouldn't do it. No way.. Huyo ni Dada hakuwa na msimamo na pia huenda alikuwa bado anammpenda baby Daddy wake.. Basi angekuambia babe let's GI together but she didn't.. What you did to leave her , you weren't wrong at all.. Because you don't know what happened there Toronto , especially she didn't offer you to go with her , it doesn't make no sense to me .. And if my man will do this like your Ex did it would probably be over between him and I.. Thanks..
 
Babaaa ukishamegewa lazima kumumbushiana kitu hhadi kasafiri masafa ya hivo...we jikaze tu na usitegemee akuambi alikazwa hahahah pole
 
je wewe wiki mbili hizo hukumega? baada ya kurudi ulijipa home work ya mwenendo wake?

ukweli hakuna awali mbovu ndio maana demu alipoambuwa Toronto akakaza buti na yeye afunge mkanda na si rahisi sana kuamini ati alilala sebuleni
 
Ndio ulimegewa kabisa tena for two weeks. Nafuu hukujaribu kumuoa huyo mwanamke.
 
Back
Top Bottom