kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,388
- 16,177
- Thread starter
- #21
😁😁😁🙌Na mwaka huu lazima muende VETA ndio mtaweuka kabisa
😁😁😁🙌Na mwaka huu lazima muende VETA ndio mtaweuka kabisa
Habari ni kwamba mtafute wapenziKwa hyo habari hapa n nn ,n umepataa mpenzi mpya au 🤔
Ndiyo nini hiyo mkuu?Libido tu ilikua inakusumbua🤒
Nyege🤒Ndiyo nini hiyo mkuu?
Mwezi mtukufu huu sinywi pombeHuyu nadhan anakunywaga Serengeti Lite.
Savanna zina hangover huwez piga nyingi zile ukaamka na Nguvu.
Kumbe duh! 😁😁Nyege🤒
YeahKumbe duh! 😁😁
Ww una matatizo gani mbona mapenzi umeyapa kipaumbele sanaHabari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.
Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.
Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.
Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.
Muwe na mfungo mwema😊🙏
Hapana MwanzaJanja njombe moja nini?
Ni sehemu yangu ya maisha mkuuWw una matatizo gani mbona mapenzi umeyapa kipaumbele sana
Yupo kimkakatiWw una matatizo gani mbona mapenzi umeyapa kipaumbele sana
😂😂😂😂😂Na mwaka huu lazima muende VETA ndio mtaweuka kabisa
Ndiyo nini hizoZilikuwa tu ni nyeg(ee) madam.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Inamaana apa umetushauri ama umetuambia #Binti_sayuni😂😂Habari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.
Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.
Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.
Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.
Muwe na mfungo mwema😊🙏
Nawashauri muwathamini wanaowapenda😁😁Inamaana apa umetushauri ama umetuambia #Binti_sayuni😂😂
Kama hawapo nini kifuate maana siwezi ota kua kuna mtu ananithamini ikiwa hawatuambii😂😂Nawashauri muwathamini wanaowapenda😁😁
Si atakuonyesha hata vitendo jamaniKama hawapo nini kifuate maana siwezi ota kua kuna mtu ananithamini ikiwa hawatuambii😂😂