kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,388
- 16,177
- Thread starter
- #41
Asante sana mkuuHongera sana Binti
Asante sana mkuuHongera sana Binti
Aaah uchawi hapa ndio mwanzo wakeSi atakuonyesha hata vitendo jamani
Uchanganyikiwe mara ngapi mwanangu. Umechanganyikiwa hadi ukachanganyikiwa na kuchanganyikanaHabari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.
Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.
Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.
Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.
Muwe na mfungo mwema😊🙏
Hamna sasa hivi nipo sawa mbonaUchanganyikiwe mara ngapi mwanangu. Umechanganyikiwa hadi ukachanganyikiwa na kuchanganyikana
basi umechanganyikiwa tenaHamna sasa hivi nipo sawa mbona
Siyo kweli, uwe unazingatia vitendo wengine hawawezi kusema hilo nenoAaah uchawi hapa ndio mwanzo wake
Kwanini unasema hivyo mkuu?basi umechanganyikiwa tena
Hii ni brand mpya mkuu?
Siyo kweli, uwe unazingatia vitendo wengine hawawezi kusema hilo neno
[/QUO Tanganyika huru hii na watu wapo huru sasa ww unipende. Na usiniambie niote mfalme njozi😂
Kwa sababu umechanganyikiwa kama ulivyodaiKwanini unasema hivyo mkuu?
Hapana sijachanganyikiwa aisee niko normalKwa sababu umechanganyikiwa kama ulivyodai
Wewe uyoHapana sijachanganyikiwa aisee niko normal
Hii ni chai mkuuHii ni brand mpya mkuu?
Heeeh😁😁 aya kama huaminiHii ni chai mkuu
Hivi wewe si Rushaynah kweli?Habari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.
Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.
Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.
Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.
Muwe na mfungo mwema😊🙏
Hapana mkuu siyo mimiHivi wewe si Rushaynah kweli?