Nahisi nilikuwa naanza kuchanganyikiwa

Nahisi nilikuwa naanza kuchanganyikiwa

Habari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.

Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.

Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.

Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.

Muwe na mfungo mwema😊🙏
Uchanganyikiwe mara ngapi mwanangu. Umechanganyikiwa hadi ukachanganyikiwa na kuchanganyikana
 
1742070340132.jpg
 
Kuna mwengine unakuta umekuwa nae kwenye mahusiano amekupa tunda unamkaushia anakitumia meseji unajifanya huzioni wakati mtoto wa watu kashafall in love, alafu baadae uanze kubangaika useme umerogwa
Fabian Vitus
 
Habari za wakati huu ndugu zangu poleni na mfungo wa Ramadhani ndugu zangu waislamu na wakristo poleni na mfungo wa Kwaresma.

Kama kawaida yetu hapa jukwaani ni kushea mawili matatu uliyonayo kama kuna ushauri upatiwe au kujufunza watu wajifunze.

Sasa ndugu zangu mimi kipindi nipo single nilikuwa nikiona wapenzi wanaonekana kupendana hivi mbele yangu basi nachukia mno na kukasirika. Sijui shida ni nini hapo ilikuwa.

Lakini namshukuru Mungu kwa sasa I'm in Love, hiyo hali imetoweka kabisa, kama unapata mtu anakupenda mjali mthamini maana wenye upendo wa dhati wamebaki wachache mno.

Muwe na mfungo mwema😊🙏
Hivi wewe si Rushaynah kweli?
 
Back
Top Bottom