babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Na hilo ndio lilikuwa lengo lake kuleta chai hii. Kutukana Imani za watuHizi baraghashia ni balaa tupu.
Na hilo ndio lilikuwa lengo lake kuleta chai hii. Kutukana Imani za watuHizi baraghashia ni balaa tupu.
Nonsense
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
Nafundisha
huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
Mengine si kama haya hapa | Haya waambie waje na buku |
Nitumie elfu mbili kwa namba yangu ya vodacom kabla sijaweka wazi kwa watu jinsi ilivyo rahisi kutengeneza haya majedwali
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
Kwa mara ya kwanza rafiki yangu nisiyekujua umejaribu kunikorofisha Leejay49
Ila we jamaa 😃😃😃 Waambie waje niwafundishe
Mengine si kama haya hapaHaya waambie waje na buku
Hii post itabadilika uelekeo sasa hivi utaambiwa umekashifusasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika
Nilitaka li Poor Brain linipe buku mbili ili nisiwafundishe wengine kuchora huto tuchumba ila wewe umewahi kuchora kiasi kuwa nimekosa watejaNimekukorofisha aje rafiki??
Hahah,. Utawapata wengine usiwaze😃Nilitaka li Poor Brain linipe buku mbili ili nisiwafundishe wengine kuchora huto tuchumba ila wewe umewahi kuchora kiasi kuwa nimekosa wateja
Sasa mbona unacheka mkuu...Nonsense
Aambiwe mara ngapi?Hii post itabadilika uelekeo sasa hivi utaambiwa umekashifu
Khaaaa nyieee hivi mmejulia wapi..
Ila we jamaa 😃😃😃 Waambie waje niwafundishe
Mengine si kama haya hapaHaya waambie waje na buku
Hapana weka hata nusu kalenda hapa mkuu ili nijue unaweza au laahNitumie elfu mbili kwa namba yangu ya vodacom kabla sijaweka wazi kwa watu jinsi ilivyo rahisi kutengeneza haya majedwali
Wafanyabiashara huwa hawatoi chenchi hovyo na mara nyingi huwa ni mwiko kutoaDuh! Unaharakisha kututungia uongo sijui ulikuwa unawahi wapi 😆 Kwamba babu kauliza kama atapata chenchi hapo hela bado hajaitoa mfukoni akajibiwa sina (haijulikani ni chenchi ya TZS ngapi) halafu baadae babu ndiyo anatoa hela mfukoni apewe juice ya mjukuu 😆
Tubabu twa hivyo ni tuchawi sana na tukada twa ccmYaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
Chora kwanza lako tulione😃😃Namba ya kuchora jedwali
View attachment 3312916