Baada ya kuokba chenji hakusem hata niya bei gani na muuza duka alinjibu chenji sini.babu pale pale akasema basi nipe juice nimpekee mjukuu wangu ndio akazama mfukoni akatoa elfu 2Duh! Unaharakisha kututungia uongo sijui ulikuwa unawahi wapi 😆 Kwamba babu kauliza kama atapata chenchi hapo hela bado hajaitoa mfukoni akajibiwa sina (haijulikani ni chenchi ya TZS ngapi) halafu baadae babu ndiyo anatoa hela mfukoni apewe juice ya mjukuu 😆
Baada ya kuokba chenji hakusem hata niya bei gani na muuza duka alinjibu chenji sini.babu pale pale akasema basi nipe juice nimpekee mjukuu wangu ndio akazama mfukoni akatoaDuh! Unaharakisha kututungia uongo sijui ulikuwa unawahi wapi 😆 Kwamba babu kauliza kama atapata chenchi hapo hela bado hajaitoa mfukoni akajibiwa sina (haijulikani ni chenchi ya TZS ngapi) halafu baadae babu ndiyo anatoa hela mfukoni apewe juice ya mjukuu 😆
Sayansi hii haipo kule kakakasome biology upya hilo ni swala la kisayansi
Hujajibu swali.Ni chuma ulete ile maana katoa elfu 2 karudishiwa elfu 9500 sasa tuuiiteje hapo
ipo meku ni maswala ya how brain interprets visual impulsesBaada ya kuokba chenji hakusem hata niya bei gani na muuza duka alinjibu chenji sini.babu pale pale akasema basi nipe juice nimpekee mjukuu wangu ndio akazama mfukoni akatoa
Sayansi hii haipo kule kaka
Mnooo yani
Poor Brain una hatareee 😂
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
Sasa akituma watu si kamaliza mtajiNadhani kwa mlengwa maana mi kabisa kwa macho yangu jimeona 2000 lakinimujz duka kupokea yeye kafudisha elfu 9500 tena elfu tano moja buku 2 mbili mbili na miatano moja
Mi geniusPoor Brain una hatareee 😂
"Utakuwa CCM kindakindaki wewe"Yaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
How, whereSema Tu ya moyoni wewe umemwogopa babu.
Kwanini..?
Kwasababu Ungeanza na babu ingekuwa poa Sana na muuza Duka angekuamini.
Chuma ulete ipo Sana Tu.
I can prove that.