D3F4ULT
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 391
- 779
| Sawa nakuja pm mkuu๐ |
|
| Sawa nakuja pm mkuu๐ |
|
We ndo hujaiona vizuri, ilikuwa buku10 ndio maana alitaka chenji kwanza alipoona hapati akaona anunue kitu ili muuzaji ashawishike kutoa chenji. Hakuna chuma ulete hapoYaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
plus barakashe๐๐๐We ulivyoona babu kachoka ukamhusisha na chuma ulete
Hivi huwa zinakuwa na mifumo tofauti au zinafanana na ya huyo mzee kwenye story ya jamaa!?!Sema Tu ya moyoni wewe umemwagopa babu.
Kwanini..?
Kwasababu Ungeanza na babu ingekuwa poa Sana na muuza Duka angekuamini.
Chuma ulete ipo Sana Tu.
I can prove that.
Hata mzee Wassssiraa chaawaa naye ni nchawi?Utajuaje kama uko Africa, 1. Wazee wote ni wachawi.
Yaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
Hahahahahahaaaaaaa kwamba ni chai ya kupulizia ufuuu ufuuuu
Sio kweli ni coincidence tu, mimi nilimpa buku tano mama mmoja Nilikuwa NACHUKUA chapa maandashi ya 500, akanirudishia 9500, ila nilivyo muungwana nikamwambia nimekupa 5000 we mama nikarufisha 5000 akashukuru sanaYaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
Mkuu nani kakufundisha haya maunyama
Sawa nakuja pm mkuu๐
Proved.Hata mzee Wassssiraa chaawaa naye ni nchawi?
Anunue ugomvi usiomuhusu?Sema Tu ya moyoni wewe umemwagopa babu.
Kwanini..?
Kwasababu Ungeanza na babu ingekuwa poa Sana na muuza Duka angekuamini.
Chuma ulete ipo Sana Tu.
I can prove that.
๐๐๐ Umenikumbusha Ile song na movie ya "Mzee WA busaraaa ๐น"Anunue ugomvi usiomuhusu?
Mbona hii kawaida sana. Wauza duka wengi hawapend hiz mambo za kuombwa ombwa chenji so ni obvious utajibiwa hivyo tu hata kama hujasema chenji ya shilling ngap. Hapo hakuna uongoDuh! Unaharakisha kututungia uongo sijui ulikuwa unawahi wapi ๐ Kwamba babu kauliza kama atapata chenchi hapo hela bado hajaitoa mfukoni akajibiwa sina (haijulikani ni chenchi ya TZS ngapi) halafu baadae babu ndiyo anatoa hela mfukoni apewe juice ya mjukuu ๐
Hapo penyewe network za babu zisha daka mawimbi kuwa wa stendi kamfitin huku amchomeshe so leo usiku kaz anayo๐๐๐ Umenikumbusha Ile song na movie ya "Mzee WA busaraaa ๐น"