LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,624
AHahaha. Sasa huko pm unaenda kuwa mwalimu badala ya mwanafunzi 😂
Sawa nakuja pm mkuu😎
AHahaha. Sasa huko pm unaenda kuwa mwalimu badala ya mwanafunzi 😂
Sawa nakuja pm mkuu😎
😂Vipi walikurudishia laki _ zako ? Watu wabaya Sana.Duuh
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
| Wahi sasa |
| Huyu ni nani |
| Ni Binadamu Mtakatifu |
| 😂😂😂😂😂😂😂 |
| Ni | Bure |
Ushaanza ujokeri dogo.
Nafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni poor brain 😂😂😂😂😂😂😂 Njoo pm nikuelekeze jinsi ya kuweka vijedwali uje na 5k tu
Unatafuta wanafunzi, wanakuja ma master😂Mkuu nani kakufundisha haya maunyama
Alikua anafanya installation huyo kwenye wallet yako, si kwamba alijisahau😂😂. Usiamin kila unachokiona ukadhan ndivyo kilivyo..hil ndio somo nimejifunza kwenye maisha so farJe ukizidishiwa chenji na huna hayo mambo ya chuma ulete ni ishara Gani?manake Kuna cku Niko Mafinga napanda bajaji za kwenda kinyanambo ni 800,kufika nampa elf mbili dreva katurudisha elf tisa mia mbili,nkamwambia umezidisha hataki kunielewa ,nkamwambia nlikupa elf mbili , ndo abiria alikua hajashuka akanisaidia kumuelewesha dereva kuwa ni kwel aliniona nkitoa elf mbili. Nkamrudishia chenji yake yote. ..
Nimewahi msaidia mtu mlemavu ambaye alikuwa ombaomba Jijini Mwanza nikiwa kwenye mgahawa mmoja napata msosi akaja na kijana wakiwa wanaomba!
Nilitoa elfu 3 nikampa yule dogo akiwa na yule mlemavu,Sasa kumbe pale wanamfahamu na watu huwa hawawapi hela,ajabu ni jamaa hawakunishitua!
Hadi muda huo naingia hapo mgahawani kupata msosi mfukoni nilikuwa nina 360000/- baada ya kupiga msosi nimemaliza nachomoa pesa nilipe,kwanza nikahisi mfukoni kumekuwa kwepesi ghafla,ikabidi nitoe zile pesa Ili nifanye malipo ya Chakula!
Nilipo hesabu pesa nakuta elfu 80 haipo,nilihisi kuchanganyikiwa,ikabidi nihesabu upya lakini bado hiko kiasi kikawa hakipo!,baadae ndiyo watu wananishitua wananiambia yule jamaa mlemavu na yule dogo niliowasaidia huwa hayo ndiyo mambo Yao!,na raia wengi wanawafahamu hivyo huwa wanawaangalia tu hawawapi chochote!
Tangu siku hiyo nilijifunza kitu😁
kuzuia tu au kuingia mzimamzima?Haya mambo yapo ila sisi wenye elimu ya kukariri maphysics na mabiology huwa ni wabishi sana
Ndo maana unapofanya biashara ni muhimu kwenda kwa waganga kuzuia mambo kama hayo
Roho mbaya ni kingaNimewahi msaidia mtu mlemavu ambaye alikuwa ombaomba Jijini Mwanza nikiwa kwenye mgahawa mmoja napata msosi akaja na kijana wakiwa wanaomba!
Nilitoa elfu 3 nikampa yule dogo akiwa na yule mlemavu,Sasa kumbe pale wanamfahamu na watu huwa hawawapi hela,ajabu ni jamaa hawakunishitua!
Hadi muda huo naingia hapo mgahawani kupata msosi mfukoni nilikuwa nina 360000/- baada ya kupiga msosi nimemaliza nachomoa pesa nilipe,kwanza nikahisi mfukoni kumekuwa kwepesi ghafla,ikabidi nitoe zile pesa Ili nifanye malipo ya Chakula!
Nilipo hesabu pesa nakuta elfu 80 haipo,nilihisi kuchanganyikiwa,ikabidi nihesabu upya lakini bado hiko kiasi kikawa hakipo!,baadae ndiyo watu wananishitua wananiambia yule jamaa mlemavu na yule dogo niliowasaidia huwa hayo ndiyo mambo Yao!,na raia wengi wanawafahamu hivyo huwa wanawaangalia tu hawawapi chochote!
Tangu siku hiyo nilijifunza kitu😁
Kuna mji fulani (sitaji jina) hapa Tanzania ukiomba chenji kwenye duka lolote hawakupi (hawatoi chenji). Siku hiyo nilihangaika sana kupata chenji ya Tshs elfu kumi.Yaani nineenda dukani (kutoa hela kwa wakala maana ni muuza duka na wakala hapo hapo.nimekuta anahudumia watu wengine ikabidi nikae pembeni kwanza amalizane nao, sasa wakati nimetulia pembeni akaja mbabu kavaa kote barakashia tena inechanika chanika nimemsalimia hajaitiika hata.akamwuliza yule muuza duka nitapata chenji?
Muuza duka akamwambia sina checji babu! Yule mzes akamwambia basi nipe juice nimpelee mjukuu wangu ananisumbua sana,babu akanitizama machoni huku anatoa hela mfuko wa koti ule wa ndani.
Yule jamaa akatoa juice ya box ile ndogo akampa babu na yule babu akatoa shilingi elfu 2 akampa jamaa muuza duka.
Mimi hapo kimoyomoyo niokajiulizaina maana amaekuja kuomba chenji ya ya 2000 tuujioni hii ya nini?nikatulia,wakati huo yule muuza duka kashapokea hela nikaona anarudisha chenji 9500 moyo wangu ukafanya paaa!!!
Babu kapokea vhenjiakamwambia jamaa asnantee!jamaa nae akasema sawa babu karibu tena,babu huyooo kaondaka,mi nikamwambia jamaa mbona babu kakupa elfu 2 wee unamrudishia chenji elfu 9500 kulikoni?jamaa wa dukani huwezi amini kakataa katu katu kasema elfu kumi yaani nimebishana nae mpaka watu wakatishangaa nikatoa hela yangu huyio jikatimka ila jamaa nimemwonea huruma sana.
Aise kumbe hii ishu ipo tuweni makani
Weee nani kakufundisha mkuuNafundisha huu unyama😂😂😂🙌🙌
Wahi sasa Huyu ni nani Ni Binadamu Mtakatifu 😂😂😂😂😂😂😂
Ni Bure
Sio wote wanajua huu unyamaUshaanza ujokeri dogo.
Haya maunyama tunajua wachache sasa badae Naja kupaka rangi jukwaaUnatafuta wanafunzi, wanakuja ma master😂
We mchamungu sana ila sirudishagi maana wenyewe makonda wanatuibia sana chenji zetu kwa makusudi kabisa.Je ukizidishiwa chenji na huna hayo mambo ya chuma ulete ni ishara Gani?manake Kuna cku Niko Mafinga napanda bajaji za kwenda kinyanambo ni 800,kufika nampa elf mbili dreva katurudisha elf tisa mia mbili,nkamwambia umezidisha hataki kunielewa ,nkamwambia nlikupa elf mbili , ndo abiria alikua hajashuka akanisaidia kumuelewesha dereva kuwa ni kwel aliniona nkitoa elf mbili. Nkamrudishia chenji yake yote. ..
Sasa utaonaje kama zinafanya kazi huko?Hizo chuma ulete waende CRDB au mlimani tuone kama zinafanya kazi.
Daah Kinyanambo kitambo sana iyo kipindi iko bajaji 500 to mafingaJe ukizidishiwa chenji na huna hayo mambo ya chuma ulete ni ishara Gani?manake Kuna cku Niko Mafinga napanda bajaji za kwenda kinyanambo ni 800,kufika nampa elf mbili dreva katurudisha elf tisa mia mbili,nkamwambia umezidisha hataki kunielewa ,nkamwambia nlikupa elf mbili , ndo abiria alikua hajashuka akanisaidia kumuelewesha dereva kuwa ni kwel aliniona nkitoa elf mbili. Nkamrudishia chenji yake yote. ..