SINABAHATI
Member
- Jun 1, 2015
- 21
- 11
Mimi ni mgeni hapa ndani naombeni mawazo yenu,
Ninamchumba ambaye alikuwa nchi za Waarabu kusoma, sasa karudi nyumbani nimegundua alikuwa anampenzi wa hizo nchi akamfundisha mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Lakini ameniambia ameacha, tukiwa wote anaonyesha dalili zote za kuhitaji huko nyuma, namshtua ananiambia eti anahisi ni mbele. Je, kweli mtu aliyewahi kufanya haya mambo ni rahisi kuacha? Na tayari mahari katoa nipo njia panda maana nachukia tabia hiyo na imenichanganya kweli.
Ninamchumba ambaye alikuwa nchi za Waarabu kusoma, sasa karudi nyumbani nimegundua alikuwa anampenzi wa hizo nchi akamfundisha mambo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Lakini ameniambia ameacha, tukiwa wote anaonyesha dalili zote za kuhitaji huko nyuma, namshtua ananiambia eti anahisi ni mbele. Je, kweli mtu aliyewahi kufanya haya mambo ni rahisi kuacha? Na tayari mahari katoa nipo njia panda maana nachukia tabia hiyo na imenichanganya kweli.