mmhh........ukimnyima atatoka nje kuitafuta
bora uachane nae kama humpi maana atakuletea madhara na maradhi
HATA KAMA KAKUBALI HATOKULA TIGO YAKO
ATATOKA NJE KUITAFUTA[/QUOTE SINABAHATI ushauri huu ni mzuri FOR LONG TERM life... maana msala ukikuangukia " wanaume wengi wanasepa na kutolea wagonjwa wao" !!
sio lazima tatizo nampenda sana mpk nahisi ntapata shinikozo la damu kwa jinsi ninavoumia
mmhh........ukimnyima atatoka nje kuitafuta
bora uachane nae kama humpi maana atakuletea madhara na maradhi
HATA KAMA KAKUBALI HATOKULA TIGO YAKO
ATATOKA NJE KUITAFUTA[/QUOTE SINABAHATI ushauri huu ni mzuri FOR LONG TERM life... maana msala ukikuangukia " wanaume wengi wanasepa na kutolea wagonjwa wao" !!
sure
mwanaume akatainkitu
ila lazima atafute mbinu ya kutimiza haja zake
Exactly umetusoma na unatujua kuliko wenyewe........... SINABAHATI kamusi lako lipo kwa huyu dada msema ukweli...!!!sure
mwanaume akatainkitu
ila lazima atafute mbinu ya kutimiza haja zake
Masai dada be blessed.
Kwahiyo utakufa naye? Hapo wewe unapenda elimu yake + ushamba wako ukisikia mtu kasoma nje ya nchi. Wadau wamekueleza vizuri tu lakini inaonekana wewe ni kichwa ngumu, sasa nenda akazibue choo, harafu baada ya miaka miwili likitanuka sana uje utupe mrejesho.
As long as umekiri kuwa UNAMPENDA SANA (nadhani unapenda pesa zake tu nyambafu wewe),that means that hata kuliwa 0713 unakupenda pia kwa hiyo usimuache mpe 0713 na ndoa mfunge!
sure
mwanaume akatainkitu
ila lazima atafute mbinu ya kutimiza haja zake
Hilo nalo ndo linalonitia wasiwasi.tena alivomjinga anakiri kweli lakn sikujua kama ni dhambi.yaan alifurahia mpk akasahau zinaa ni dhambi.
SINABAHATI
heri nusu shari kuliko shari kamili. kama kweli hupendi ufirauni/ushetani huo, achana naye sasa, kuliko kusubiri mkiwa kwenye ndoa...mshindwane... ndo muanze mlolongo mreeefu ambao utaishia kumuaibisha jamaa coz kila kitu kitakuwa hadharani kuwa mnaachana kwa sababu gn! na hiyo itasababisha uadui kati yenu coz jamaa ataona umemdhalilisha(hataona makosa yake). Kiukweli hata sasa mkiachana kuna usumbufu na complictn zitatokea coz ni mchumba rasmi huyo... bt ni afadhali kuliko zitakazotokea mkiachana mkiwa wanandoa.
nakwambia hivyo kwa sababu wakishaingia kwenye hizo tabia, kuacha ni MUUJIZA! Na ktk kuchukua maamuzi magumu kama hayo ya kuachana na umpendaye...maumivu makali hayaepukiki! bt Mungu ni mwaminifu, kwa kitendo cha kishujaa kama hicho cha kukataa uovu atakuponya majeraha yako na kukupa mtu sahihi! na jamaa utamsahau. Watu wanafiwa na wapendwa wao, wanadata lakini baadae maisha yanaendelea...sembuse hili! Mungu ni mwaminifu
Mmmh !! Dhambi tuu!! basi nikujuze... ni masaibu, balaa, majanga, Utachusha,utafilisika,utakosa amani, hamtobarikiwa!! mwishoe magonjwa ya ajabuajabu...hilo nalo ndo linalonitia wasiwasi.tena alivomjinga anakiri kweli lakn sikujua kama ni dhambi.yaan alifurahia mpk akasahau zinaa ni dhambi.
then mpe tu shoga kama unampenda zaidi ya Mungu wako na afya yako mwenyewe