Nahisi kufa kwa mawazo

Nahisi kufa kwa mawazo

Huo ni upunguani hauna matibabu

mwache leo vinginevyo Disemba mwaka huu utakuja hapa ukiwa huna bikira yoyote
 
Men wengi tunatumia hiyo kitu, olewa tu au kuwa gumegume tule hiyo kitu na ndoa usimuliwe
 
huo ni upunguani hauna matibabu

mwache leo vinginevyo Disemba mwaka huu utakuja hapa ukiwa huna bikira yoyote

Hahahahah!! Moyo wa kupenda jamani unakuwa na kigugumizi sana,sema ajikaze tu amwache mambo hayo hayapendezi mbele za mungu na kwa binadamu pia. Kemea pepo hilo
 
Hahahahah!! Moyo wa kupenda jamani unakuwa na kigugumizi sana,sema ajikaze tu amwache mambo hayo hayapendezi mbele za mungu na kwa binadamu pia. Kemea pepo hilo

Hiyo kupenda ya hivyo ni mbaya bana
 
Mmmh!!!!!!!!!!! bora mrudishe mahari yake, kwenye ndoa ndio utapata shida zaidi maana usipompa wewe ataenda kutafuta nje. tena mkemee akomeee na hiyo tabia kama haachi, mrudishieni mahari yake mapema. msije kufikia yaliomkuta muimbaji fulani wa injili.

Mtaje Jina Lake Huyo Mwimbishaji
 
Dah... Yani tabia mbaya sana hyo... Nakushauri muache tu... Lazima atakuja kukusalit au lah uumpe wewe
 
mimi nasubiria ulete hapa mrejesho akishafumua hayo marinda
 
Samahan simpendi kwa sababu ya elimu wala kusoma nje nikumpenda tu kwa dhati ambapo sikutegemea tabia hizo na tunamiaka saba sasa katika mahusiano.nawaza nitawaambiaje wazazi kuhusu hili? na kiukweli pamoja na kumpenda moyo wangu unanituma kuachana maan pamoja hiyo tabia ni mtu mbabe sana.kiufupi hajui mwanamke anahitaji nn zaiddi ya kuniendesha kama mtoto mdogo

then fata moyo wako unavyokutuma kuachana naye. Kuh cha kuwaambia wazazi...waeleze mmeshindwana tabia na anakupelekesha kama mtoto na ni mbabe! kiasi kwamba mnagombana mara kwa mara. Mbona hayo maelezo yanatosha wazazi kukuelewa, coz wataona kama ktk uchumba maelewano hamna je mkiingia kwenye ndoa!

ILA kwa kuzingatia maadili na kuepuka mabifu...usiwaeleze wazazi wala ndugu kuh swala la kinyume na maumbile, ili muachane kwa amani na atakuheshimu daima.
 
Inna Lilah mwenyezi mungu kasema mtu anayefanya vitendo hivyo hataingia peponi kamwe
 
Kuacha mbona inawezekana sana tu!!! Wapo wengi walikuwa na hako kamchezo na wameacha.
Japo yote hutegemea mtu na dhamira yake. Huo ni mchezo mchafu na usiruhusu kuanza, atakuharibu na itakuwa ngumu kuacha coz mtakuwa wote ndani ya ndoa na katakuwa kamchezo kenu...
 
Back
Top Bottom