Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,225
- 1,676
Jifunze kuwa mgumu maisha siyo lelemama
Jifunze kuwa mgumu maisha siyo lelemama
Usha anza mambo zako 😂😂Wee umerogwaaa? Vipi uko tayari huyo jamaa tumuachanishe na mkewe, afu akuoe wee?
Kuwa serious niko tayari kwa msaada.
Mm sio muha lakni ngoja wanajf waamke waje wakupe ukweli mchunguUtakuwa muha wewe maana unapenda kubishana unachokiamini wewe ndio wataka kiwe basi Sawa
Hayo mawazo ndiyo yanayokutesa...ishi sasa,maisha ni sasa cute...kama ni wakukuachs angekuacha hata angekuwa hana mtu mwingine zaidi yako...ishi muda huu, furahia muda huuSiwezi kwakweli kila nikiwaza saivi amelala na mwanamke wake anafuliwa na mwanamke wake anapikiwa wanacheka pamoja wanafurahi huku mimi nateseka na baridi peke yangu Roho inaniuma najawa na wivu naogopa sana kuendelea nae
Japo ameniumiza sana kwa kunidanganya wakati wote huo
Sasa we jichanganye ujute😫😫😫hapo sasa ndio panatishaa
Wallah nataka nimsaidie huyu mwenzangu, awe na huyo jamaa kipenzi chake.Usha anza mambo zako 😂😂
Hapo sasa, em changamkeni bas, 😂😂😂😂Anaweza kuja hata kwangu, mm n single boy kitambo
Ndo nataka nimpe msaada. LolMsaidie mwenzio kakamatika vibaya
Wenae Kuwa Kama Hujaona AiseeBora abaki huko. Akijichanganya kuja kwako akidhani hakuna maumivu ajue kabisa amekuja HEADQUARTER
NitajitahidiJifunze kuwa mgumu maisha siyo lelemama
Hapo nimefeli mapenzi hisiaNitumie mimi kama mchepuko wako ili umsahau kwa sasa
DuhSasa we jichanganye ujute
Ushaurii ni mzurii kuuleta kwenye vitendo sasa ndio shida inapoanziaHayo mawazo ndiyo yanayokutesa...ishi sasa,maisha ni sasa cute...kama ni wakukuachs angekuacha hata angekuwa hana mtu mwingine zaidi yako...ishi muda huu, furahia muda huu
Nothing is permanent
Wewe nae umekazana kwaiyo unafikiri kila mtu alipita hiyo njia unayosimuliaMm sio muha lakni ngoja wanajf waamke waje wakupe ukweli mchungu
Ulimuacha mchizi kwa kumuona boya umepata mubaba anahela na handsome sasa pambana acha kulialia
No mercy
Thread yooote iko hapa sasaUnitafutie na mtu kabisaa maana nitakosa wakunibembeleza
Sikutishi ila tafuta wako
Sawa mkuuNdo nataka nimpe msaada. Lol
Ndo wale mnaotongozwa afu mnajifanya nina mtu wangu. Wakati ukionjeshwa mboro unanogewa afu ukiulizwa yule mtu wako vp au nikuache umfate, unaanza kuning'ang'ania Tena wakati ulishasema una mtu wakoAcha kubisha maana hujawai kuwa mwanamke
Mimi mwanamke nakuambia wanawake single wapo wengi na wenginee wanaweza maliza mwaka hata mwanaume hajawai kutongozwa nae