Nahisi kuchanganyikiwa

Nahisi kuchanganyikiwa

Wasiliana na Dr Fatma Maganga &Co ili kujua wanatumia mbinu gani kupora waume za watu bila jasho.
 
Daah Dunia sio far,Hivi ni kwanini tusibadilishane matatizo??
Nina lundo la matatizo ila wenzagu vitu vinavowasumbua nivya kijinga sanaa,Eeeh Mungu ikikupendeza tubadilishie matatizo na huyu kiumbe jmn wako mana hana akili kbs
Uzuri kila mtu hupewa matatizo yake kama yako unayaona makubwa kuliko ya wenzako na wenzako wanayaona matatizo yako ni madogo so usikejeli mtu anapopitia changamoto hujui mtu yupo katika hali gani
Watu hujiua hata kwa vitu ambavyo sisi tunaona ni vidogo
 
Siwezi kwakweli kila nikiwaza saivi amelala na mwanamke wake anafuliwa na mwanamke wake anapikiwa wanacheka pamoja wanafurahi huku mimi nateseka na baridi peke yangu Roho inaniuma najawa na wivu naogopa sana kuendelea nae

Japo ameniumiza sana kwa kunidanganya wakati wote huo


Ukiwa shangazi na kupitia mishale mingi huu utoto utakuisha, utatamani ukae hata na huyo huyo mwanaume mwenye mke wake, tena siku hizi wanawake wanawakimbilia wanaume waliooa, sbb wanajua majukumu na kulea, huo utoto utakuisha ukipata mtoto wako wa kuzaa..!!
 
Ukiwa shangazi na kupitia mishale mingi huu utoto utakuisha, utatamani ukae hata na huyo huyo mwenye mke wake, tena siku hizi wanawake wanawakimbilia waliooa, sbb wanajua majukumu na kulea, huo utoto utakuisha ukipata mtoto wako wa kuzaa..!!
Duuh
 
Shikilia hapo hapo wakati unajitafuta, maana soko ni gumu

Cha msingi anza kumkataa mdogo mdogo wakati unatafuta back up nyingine
 
Labda bahati yangu ni mbaya maana kila napogusa jimbo limewahiwa

Ni miezi 8 sasa tangu niwe na huyu mwanaume, ilikuwa kama masikhara lakini nikajikuta nampenda kweli kwa namna anavyonionesha upendo

Pamoja na red flag niliendelea kujiaminisha labda ni uoga wangu na kujipa imani kuwa hakuna mtu single ili uwe na mtu lazima umtoe kwa mtu

Naumia kujua kuwa huyu mwanaume ana mwanamke anaishi nae na sio tu kuishi nae amezaa nae mtoto(ameniambia mwenyewe baada ya kumbananisha) na nina uhakika wanaweza kuwa tayari wana ndoa japo sio kanisani but hata ya serikali

Mpk hapo sina nafasi tena kwake nachotamani ni namna ya kuondokana nae nifanyaje ni move on kwa huyu mtu maana nimejaribu nimeshindwa najikuta nashindwa kumuacha natamani awe wangu maana ndio huyohuyo nipo nae roho inauma mno.. nimekuwa mchepuko kitu ambacho sikuwahi kuwaza kwa maisha yangu yote huko nyuma😔

Wanawake wenzangu mliopitia situation kama hiyo mliwezaje mka move on nifanye nini mimi 😢
Afu hapo ukute ulishatongozwa na mkaka wa watu ukamkataa ukakimbilia mume wa mtu kumbe nae ana ndoa yake, maaaamae, utajua mwenyewe pambana na Hali yako,

Maana hata ukirudi Kwa uliowakataa utakuta nao tyari Wana wapenzi wao. Wanawake huwa hamjielewi pambana na Hali yako.
 
Afu hapo ukute ulishatongozwa na mkaka wa watu ukamkataa ukakimbilia mume wa mtu kumbe nae ana ndoa yake, maaaamae, utajua mwenyewe pambana na Hali yako,

Maana hata ukirudi Kwa uliowakataa utakuta nao tyari Wana wapenzi wao. Wanawake huwa hamjielewi pambana na Hali yako.
Story hazifanani mkuu usifikiri kila mtu alipitia njia aliopitia ex wako
Wenginee tulikuwa single tunajilia maisha tukaja danganywa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom