MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,731
- 9,186
Wasiliana na Dr Fatma Maganga &Co ili kujua wanatumia mbinu gani kupora waume za watu bila jasho.
Uzuri kila mtu hupewa matatizo yake kama yako unayaona makubwa kuliko ya wenzako na wenzako wanayaona matatizo yako ni madogo so usikejeli mtu anapopitia changamoto hujui mtu yupo katika hali ganiDaah Dunia sio far,Hivi ni kwanini tusibadilishane matatizo??
Nina lundo la matatizo ila wenzagu vitu vinavowasumbua nivya kijinga sanaa,Eeeh Mungu ikikupendeza tubadilishie matatizo na huyu kiumbe jmn wako mana hana akili kbs
Siwezi kwakweli kila nikiwaza saivi amelala na mwanamke wake anafuliwa na mwanamke wake anapikiwa wanacheka pamoja wanafurahi huku mimi nateseka na baridi peke yangu Roho inaniuma najawa na wivu naogopa sana kuendelea nae
Japo ameniumiza sana kwa kunidanganya wakati wote huo
Na asiponogewaCha pekeako ni kaburi tu mama, shikilia hapo hapo akinogewa atakupandisha hadhi
DuuhUkiwa shangazi na kupitia mishale mingi huu utoto utakuisha, utatamani ukae hata na huyo huyo mwenye mke wake, tena siku hizi wanawake wanawakimbilia waliooa, sbb wanajua majukumu na kulea, huo utoto utakuisha ukipata mtoto wako wa kuzaa..!!
MmmmmmhWasiliana na Dr Fatma Maganga &Co ili kujua wanatumia mbinu gani kupora waume za watu bila jasho.
Shukuru hajakutia mimbaHapa nilipo machozi yananitiririka nawaza nimekosea wapi hii inikute kinachoniuma amenidanganya tena pakubwa sana
Bora abaki huko. Akijichanganya kuja kwako akidhani hakuna maumivu ajue kabisa amekuja HEADQUARTERChomoka Kwake Taratibu,
Nitakuchek Pm,ili Tu-exchange Cont.
Ndio lakini sio solution maana still tuko pamojaShukuru hajakutia mimba
😳Bora abaki huko. Akijichanganya kuja kwako akidhani hakuna maumivu ajue kabisa amekuja HEADQUARTER
He care, ninapo muhitaji wakati wote yupo ninapomuelezea matatizo yangu ananisikiliza.. hajawai nidharau na si kwamba ana pesa.. ni kijana wa kawaidaa tu but he knows what to doHuna ujanja inaonekana anakujulia na pesa juu
Afu hapo ukute ulishatongozwa na mkaka wa watu ukamkataa ukakimbilia mume wa mtu kumbe nae ana ndoa yake, maaaamae, utajua mwenyewe pambana na Hali yako,Labda bahati yangu ni mbaya maana kila napogusa jimbo limewahiwa
Ni miezi 8 sasa tangu niwe na huyu mwanaume, ilikuwa kama masikhara lakini nikajikuta nampenda kweli kwa namna anavyonionesha upendo
Pamoja na red flag niliendelea kujiaminisha labda ni uoga wangu na kujipa imani kuwa hakuna mtu single ili uwe na mtu lazima umtoe kwa mtu
Naumia kujua kuwa huyu mwanaume ana mwanamke anaishi nae na sio tu kuishi nae amezaa nae mtoto(ameniambia mwenyewe baada ya kumbananisha) na nina uhakika wanaweza kuwa tayari wana ndoa japo sio kanisani but hata ya serikali
Mpk hapo sina nafasi tena kwake nachotamani ni namna ya kuondokana nae nifanyaje ni move on kwa huyu mtu maana nimejaribu nimeshindwa najikuta nashindwa kumuacha natamani awe wangu maana ndio huyohuyo nipo nae roho inauma mno.. nimekuwa mchepuko kitu ambacho sikuwahi kuwaza kwa maisha yangu yote huko nyuma😔
Wanawake wenzangu mliopitia situation kama hiyo mliwezaje mka move on nifanye nini mimi 😢
Hii ndio nimeanza japo natamani nipate haraka ambae ata cover hiyo spaceShikilia hapo hapo wakati unajitafuta, maana soko ni gumu
Cha msingi anza kumkataa mdogo mdogo wakati unatafuta back up nyingine
kama kaoa huyo sio sahihi kwakoHe care, ninapo muhitaji wakati wote yupo ninapomuelezea matatizo yangu ananisikiliza.. hajawai nidharau na si kwamba ana pesa.. ni kijana wa kawaidaa tu but he knows what to do
Msaidie mwenzio kakamatika vibaya😂😂😂😂
Story hazifanani mkuu usifikiri kila mtu alipitia njia aliopitia ex wakoAfu hapo ukute ulishatongozwa na mkaka wa watu ukamkataa ukakimbilia mume wa mtu kumbe nae ana ndoa yake, maaaamae, utajua mwenyewe pambana na Hali yako,
Maana hata ukirudi Kwa uliowakataa utakuta nao tyari Wana wapenzi wao. Wanawake huwa hamjielewi pambana na Hali yako.
Si ndoa kama ndoa but wanaishi kwaiyo tunahesabia ni mkekama kaoa huyo sio sahihi kwako
Wanichekaa😂😂😂😂