cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,131
Bas fresh, piga breakfast kwani, na mambo yasome vyediii.Vurugu tupu, ngoja ninywe chai maana nime chelewa kuamka.
Bas fresh, piga breakfast kwani, na mambo yasome vyediii.Vurugu tupu, ngoja ninywe chai maana nime chelewa kuamka.
"Ilikuwa kama masikhara lakini nikajikuta nampenda kweli"
Mwisho wa kunukuu
Dunia ni katili sanaKwaiyo mimi ndio niishie kuliwa tu mkuu mwisho wa siku na mimi nataka nitengenezee familia yangu
Duuh kumbe tupo jumuiyaNjoo tufarijiane box mteswa mwenzangu 🙂
MmhItachukua muda. Kwa sasa anza kwa kubadili hiyo ID. Badala ya kujiita Nampenda Milele jiite Nitapenda Tena. Ni hatua ndogo lakini ni mindset shift. Lizingatie hili!
Duuh wewe jamaa maisha magumu siku hizi watu hawataki kulea familia mbiliKwani huyo ukimpa siku za hatari hamuwezi kupata watoto mkajenga familia? Hapo kuwa makini mpime Kama hatakimbia majukumu ya kulea.
Kuna wakati inabidi ukubali tu kuwa katika mahusiano ya mume mmoja wanawake wawili au zaidi.
Wanawake wengi kuliko wanaume. Pia mwanamke hatongozi anatongozwa hivyo hana Uhuru sana wa chaguo zake.
Unafikiri wake wa Daudi, Solomon(sulemani), Yakobo (Yakub), Muhammad (S.A.W) walikuwa wajinga siyo akili kubwa kuliko wewe kukubali kuwa wake wa ndoa ya wake wengi. mume mmoja?
Nakosaje sasa tupo weeeengi mnoooDuuh kumbe tupo jumuiya
Naliwa kwa mapenzi ni kwasababu nampenda na sio kwa faida mkuukama unaliwa kwa Faida ... Sawa tu
MmhNipe nafasi hisia zitakuja
Utajuaje kama ni single hata huyu muonekano huwezi jua kama yuko single kumbe mke wake ukute mwalimu huko vijijiniVijana single wanaojielewa wapo kibao ila kila siku kujibanza kwa waume za watu.
Ujinga mtupu
Mpk hapo sina nafasi tena kwake nachotamani ni namna ya kuondokana nae nifanyaje ni move on kwa huyu mtu maana nimejaribu nimeshindwa najikuta nashindwa kumuacha natamani awe wangu
Na naniUtabondwaaa, 😂😂😂😂
Fungua pm bas
Njoo ofisini tuzungumzeLabda bahati yangu ni mbaya maana kila napogusa jimbo limewahiwa
Ni miezi 8 sasa tangu niwe na huyu mwanaume, ilikuwa kama masikhara lakini nikajikuta nampenda kweli kwa namna anavyonionesha upendo
Pamoja na red flag niliendelea kujiaminisha labda ni uoga wangu na kujipa imani kuwa hakuna mtu single ili uwe na mtu lazima umtoe kwa mtu
Naumia kujua kuwa huyu mwanaume ana mwanamke anaishi nae na sio tu kuishi nae amezaa nae mtoto(ameniambia mwenyewe baada ya kumbananisha) na nina uhakika wanaweza kuwa tayari wana ndoa japo sio kanisani but hata ya serikali
Mpk hapo sina nafasi tena kwake nachotamani ni namna ya kuondokana nae nifanyaje ni move on kwa huyu mtu maana nimejaribu nimeshindwa najikuta nashindwa kumuacha natamani awe wangu maana ndio huyohuyo nipo nae roho inauma mno.. nimekuwa mchepuko kitu ambacho sikuwahi kuwaza kwa maisha yangu yote huko nyuma😔
Wanawake wenzangu mliopitia situation kama hiyo mliwezaje mka move on nifanye nini mimi 😢
Ongea naye kwanza.Duuh wewe jamaa maisha magumu siku hizi watu hawataki kulea familia mbili