Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,623
- 4,211
Hakunaga mwanamke yupo single acha uongo.Story hazifanani mkuu usifikiri kila mtu alipitia njia aliopitia ex wako
Wenginee tulikuwa single tunajilia maisha tukaja danganywa
Hakunaga mwanamke yupo single acha uongo.Story hazifanani mkuu usifikiri kila mtu alipitia njia aliopitia ex wako
Wenginee tulikuwa single tunajilia maisha tukaja danganywa
Sio mnahesabia, huyo n mme wa mtu na watoto juu utajalogwa.Si ndoa kama ndoa but wanaishi kwaiyo tunahesabia ni mke
Unitafutie na mtu kabisaa maana nitakosa wakunibembelezaNipe no ya jamaa, nimkanye akuache kabisaa.
😂😂😂😂😂
Unatusemea mkuu wanawake single wamejaa mtaaniHakunaga mwanamke yupo single acha uongo.
😫😫😫hapo sasa ndio panatishaaSio mnahesabia, huyo n mme wa mtu na watoto juu utajalogwa.
Ni kwelihakuna mtu single ili uwe na mtu lazima umtoe kwa mtu
Pole,nimekuwa mchepuko kitu ambacho sikuwahi kuwaza kwa maisha yangu yote huko nyuma
Dawa ni mtalimbo tu..mliopitia situation kama hiyo mliwezaje mka move on nifanye nini mimi
Halafu baadae nae nigundue ni wa mtu niumie hivi hiviNi kweli
Pole,
Uko na umri gani?
Dawa ni mtalimbo tu..
Tafuta mwamba mwingine chap. Ukipigwa shoo vizuri utakuwa sawa
Anaweza kuja hata kwangu, mm n single boy kitamboTafuta nawe jamaa mwingine wa kukuliwaza?
Dunia ina watu wengi hii, unakwama wapiii?
Dah,Wenzio sikuizi hawataki walio single wanataka waliooa.
Hakuna mwanamke yuko single, maana Kila mwanamke lazma atongozwe, na wengi mnakimbilia Kwa waume za watu sababu tyari walishajitafta na wake zao skunyingi kwahiyo mnataka mtelezo tuuu.Story hazifanani mkuu usifikiri kila mtu alipitia njia aliopitia ex wako
Wenginee tulikuwa single tunajilia maisha tukaja danganywa
Hapana, naomba uje pmWanichekaa
Naomba uje mp tuyajengeHalafu baadae nae nigundue ni wa mtu niumie hivi hivi
Acha kubisha maana hujawai kuwa mwanamkeHakuna mwanamke yuko single, maana Kila mwanamke lazma atongozwe, na wengi mnakimbilia Kwa waume za watu sababu tyari walishajitafta na wake zao skunyingi kwahiyo mnataka mtelezo tuuu.
Ila Kwa mwanaume kuwa single ni kawaida sana Tena Wapo wengi maana mwanaume hatongozwi, anatongoza.
Una guess so Hakuna ukweli hapoNO MERCY
Unakuta hapo ulimuacha mshikaji aliekupenda ukamuona boya sasa umeyavagaa unaleta vilio vya kinafiki hapa
Ni haki uchekwe, wewe mapenzi ya girlfriend boyfriend yanakukondesha je ukiwa ndani ya nyumba halafu ukutane na vituko si utajitupa kwenye chemba ya maji taka!Wanichekaa
Ndo ukweli huo bisha kataaUna guess so Hakuna ukweli hapo
Utakuwa muha wewe maana unapenda kubishana unachokiamini wewe ndio wataka kiwe basi SawaNdo ukweli huo bisha kataa
MmhNi haki uchekwe, wewe mapenzi ya girlfriend boyfriend yanakukondesha je ukiwa ndani ya nyumba halafu ukutane na vituko si utajitupa kwenye chemba ya maji taka!
Mbona hilo suala tayari wewe umeliweka kifalsafa vizuri kabisa, nakunukuu:-Halafu baadae nae nigundue ni wa mtu niumie hivi hivi