Nahisi Haus gel wangu ananitega

Nahisi Haus gel wangu ananitega

Jamani leo uzalendo umenishinda.
Nimemmega hausi gel wangu , usiku mzima ulikuwa wa huba zito.
Nimejilaumu sana na niapa kuwa kamwe sitarudia kumega ma hausi gel.
Nimeshaongea na bi mkubwa kuwa aje na hausi gel mwingine huyu simtaki tena

....duuuh,
"Mbuzi kala kwa urefu wa kamba yake!"
Pole kaka, hata akija mwingine, "kinyama cha hamu, ukishakula huachi!" 😛ray2:
 
Huyu jamaa kuanzia mwanzo mi niliona anakoelekea ni kwenye kuhalalisha uasherati na uzinzi wake
....duuuh,
"Mbuzi kala kwa urefu wa kamba yake!"
Pole kaka, hata akija mwingine, "kinyama cha hamu, ukishakula huachi!" 😛ray2:
 
Dah pole mkubwa wanawake ndivyo walivyo wanatutega sana sana. Hapo kuna mawili inawezekana mkeo amekutengenezea zengwe kuangalia mukari yako au huyo hg anamatizo zimempanda anataka. Ushauri wangu hebu kuwa naye makini mpige marufu hizo nguo zake unajua kama mwanaume ni lijaliii lazima utatamani tu, pia akiendelea hivyo mueleze bi mkubwa wako mumurudishe kwao mana atakuharibia huyo, mwisho hebu jaribuni kumpa nafasi awe anatoka mara moja moja anaweza kumpata wa kumpunguzi hiyo hamu.
 
Dah pole mkubwa wanawake ndivyo walivyo wanatutega sana sana. Hapo kuna mawili inawezekana mkeo amekutengenezea zengwe kuangalia mukari yako au huyo hg anamatizo zimempanda anataka. Ushauri wangu hebu kuwa naye makini mpige marufu hizo nguo zake unajua kama mwanaume ni lijaliii lazima utatamani tu, pia akiendelea hivyo mueleze bi mkubwa wako mumurudishe kwao mana atakuharibia huyo, mwisho hebu jaribuni kumpa nafasi awe anatoka mara moja moja anaweza kumpata wa kumpunguzi hiyo hamu.
Mke hawezi fanya upuuzi huo, mume sio wamajaribio.
 
teh teh jamani raha unayo mwenyewe raha unatembea nayo ila hii haikawii kugeuka shubiri acha mkeo arudi km ni makini atagundua yk na mgombea mwenza ndani ya hs manake lzm atamuonyesha jeuri
 
Hakuna ubishi hapo pana mtego ndugu,,na ulivyomuona kavaa kikanga chepesi ilibidi uwe siriaz kumwambia avae nguo inayostahili,na hicho kisketi kifupi ilibidi umwambie either avae kanga au avae nguo yenye stara.Ukiendelea kumfumbia macho na mdomo yataendelea makubwa zaidi kama yaliyompata Yusufu kwa mke wa Potifa.Pia fanya utaratibu bwana wife arudi mjipange namna ya kumsaidia mgonjwa. Chukua tahadhari

Ushauri wako Wiselady kwa huyu mwana JF mwenzetu ni mzuri, nakuunga mkono. Ndugu Sumbalawinyo, zingatia ushauri unaojenga ambao unapewa hapa, na zaidi mimi nahisi huyu binti anaweza kuwa ana ujauzito na anataka ahamishie salio kwako, chunga sana itakula kwako!! Vinginevyo anaweza akawa ana mradi mkubwa wa ujasiriamali anauwazia, na anataka mfadhili atakayekuwa mateka wake! Chunga sana, hiyo bikini na sketi fupi si bure!! ushauri wa bure tunakupa, changanya na akili yako halafu chukua hatua inayojenga ndoa yako!!
 
Duh!!!!
Nauheshimu sana ushauri wako, lakini kwa jinsi ninavyompenda mke wangu, kamwe sito diriki kutembea na mwanamke yeyote zaidi yake.

Haya bwana nitakukumbusha hiyo sentensi mika mitano ijayo!
only one day!!! hebu msome hapo chini

Jamani leo uzalendo umenishinda.
Nimemmega hausi gel wangu , usiku mzima ulikuwa wa huba zito.
Nimejilaumu sana na niapa kuwa kamwe sitarudia kumega ma hausi gel.
Nimeshaongea na bi mkubwa kuwa aje na hausi gel mwingine huyu simtaki tena
 
na wewe pia umeshamtamani, akugongee saa 7 ucku ucmtimue ni nn? ameshaona ishara fulani kutoka kwako yeye anafanyia finishing tu...nashukuru cjawahi kuwa na house gal na kama ningekuwa mie ndio huyu mama ningesafiri nae kwenda kjjn, baba c una mikono ya kijisaidia cku mbili tatu?....kama Baba E yeye kwake ni kama kawaida kabisa.
Kufanya hivyo Nyamayao inaonyesha kukosa imani na mwenzio. Mie ukinifanyia hivyo basi huyo HG asirudi nyumbani tena, labda kama una mtoto mdogo anaenda kukusaidia....kah . mbona mnatudhalilisha namna hii!!!
 
TEGO HILO ndugu yangu, akirudi tena chapa vibao, na magonjwa yalivyo mengi siku hizi :embarrassed:
 
Na ngoja utakapomfukuza aseme mbele ya mkeo kuwa ana mimba yako ndiyo utakapojua!
 
huo ni mtego,mfukuzeni hafai,akishindwa hivyo anaweza akajaribu kwa njia nyengine.
kweli eh........huwa naamini ushauri toka kwa akinadada kuhusu mambo yanayohusu HG, ......and I mean it!
 
Jamani leo uzalendo umenishinda.
Nimemmega hausi gel wangu , usiku mzima ulikuwa wa huba zito.
Nimejilaumu sana na niapa kuwa kamwe sitarudia kumega ma hausi gel.
Nimeshaongea na bi mkubwa kuwa aje na hausi gel mwingine huyu simtaki tena


:A S-confused1::A S-confused1: amepoteza kazi yake kwa raha ya nusu saa....
ndo tatizo la kutiwa na boss wako...
 
Jamani leo uzalendo umenishinda.
Nimemmega hausi gel wangu , usiku mzima ulikuwa wa huba zito.
Nimejilaumu sana na niapa kuwa kamwe sitarudia kumega ma hausi gel.
Nimeshaongea na bi mkubwa kuwa aje na hausi gel mwingine huyu simtaki tena


Kumbe ulishammega ukajatuletea taarifa baada ya habiri tu hapa:teeth:
 
:A S-confused1::A S-confused1: amepoteza kazi yake kwa raha ya nusu saa....
ndo tatizo la kutiwa na boss wako...
Nanihii unajua watoto hawajalala huku.............hahahh
 
afroD ........u mean ahame nyumba au amtimue ................. itabidi na huyu wa kwetu tumtimue hahahhhhhhh..
mi niliona amtimue...
lakini naona jamaa kasha mapata naanataka kumtimua sasa..
balaa gani??

we unanipandishia pressure ....
borea uniambie unanidanganya sasa hivi..
maana huku ndani hatutaenea....
 
mnh kama kweli mungu akulaani,uondoke na gonjwa lolote la kuambukiza!...:redfaces::redfaces:
hahah mbona Fab umechukia kama vile ni kweli ............... hapa wote hawa............ ifi si kuna kile chama cha kutete maHG siku hizi. Maana hapo jamaa lazima afunguliwe kasi ya uzalilishaji kazini ............
 
mi niliona amtimue...
lakini naona jamaa kasha mapata naanataka kumtimua sasa..
balaa gani??

we unanipandishia pressure ....
borea uniambie unanidanganya sasa hivi..
maana huku ndani hatutaenea....
Mie naona kama ameshaanza kuwa na kiburi ................. sijui ameshaanza kujua vijana huko nje
au unampatia hela nyingi................
 
Mie naona kama ameshaanza kuwa na kiburi ................. sijui ameshaanza kujua vijana huko nje
au unampatia hela nyingi................
mmmhhhh mwenzangu mbona hicho kiburi sikioni???
na mshahara bado ni uleule....
mmmhh na vijana anowajua ni wale tu anaoimba nao kwaya....
kuna kitu ambacho we unajua mimi sijui???
mmmmhhhh unaniogopesha baba watoto..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom