Dijina40
JF-Expert Member
- May 17, 2010
- 727
- 242
Mwambie wazi kuwa yeye ni mtoto kwako na ajiheshimu kama anapokuwapo mkeo. Housegirl wa siku hizi wanawinda kuolewa, narudia KUOLEWA na baba zao wanakofanya kazi. Tunaishi nao na tumeyaona hayo. Siku hizi wanafundishana kabisaaaa, kwamba inapotokea nafasi, maza haus apinduliwe wao washike usukani. Tena mwambie asipojirekebisha mkeo akirudi utamuarifu. Mbona mkiwa mmelala na mkeo haji kuwagongea?! Nyambaf kabisa huyo. :spy: