Nahisi harufu ya mlenda pori chooni

Nahisi harufu ya mlenda pori chooni

Samahani mkuu mi naomba kuuliza, hivi kulikuwa na haja ya kusema Habari za kuangalia tamthilia tena hadi na jina lake au ratiba ya kutoka gym ndio uulize Habari za mlenda wako?

Ungesema tu umeingia bafuni ukasikia harufu ya mlenda kungekuwa na nini boss?

Anyway hatupangiani cha kuandika lakini, tecno ni yako na bando ni lako au vipi.

Tukija kwenye swali lako, kesho ukiamka asubuhi zunguka nyuma ya choo/bafu lako utakuta mlenda umeota huko kwenye ule ukijani ukijani wa maji yanayotoka bafuni
Dah mwamba anamaisha magumu mpka leo anaishi nyumba za bafu la kutiririsha maji dah

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Dah sasa gym sijawahi tumia choo cha hapo na sikijui
Mambo yapi? Ya kunusa harufu?
au unamaanisha ukienda gym huingii chooni?
au hujaelewa post vizuri? Au mm cjaelewa?
sorry ngja nirudie kusoma
 
Dah sasa g

Gym sijawai tumia choo cha hapo na sikijui
1. Ulienda gym
2. Ukarudi na kuingia ndani
3. UkaWatch video
4. Ukaenda chooni (maana yake hapo ni kwako)
5. Ukakuta harufu ya mlenda.

~Sasa mimi nakwambia hvi, huo si mlenda bali ni harufu ya shahawa!
maanake kuna ndindindi ilifanyika humo, na wewe ukaingia baada ya kama cjaelewa nivumilie hvyohvyo plz
 
1.ulienda gym
2.ukarudi na kuingia ndani
3.ukaWatch video
4.ukaenda chooni (maana yake hapo ni kwako)
5.ukakuta harufu ya mrenda.
~sasa mm nakwambia hvi, huo si mrenda bali ni harufu ya shahawa!
maanake kuna ndindindi ilifanyika humo, na wewe ukaingia baada ya

kama cjaelewa nivumilie hvyohvyo plz
Sijaafanya mjunjani bhna 😂😂😂😂😂😂 unanizungusha sana ase
 
Dah mwamba anamaisha magumu mpka leo anaishi nyumba za bafu la kutiririsha maji dah

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
huyu kasema ukweli, mungu ambariki apate zaidi ya hiyo alonayo!
humu kuna ndume zinamiliki IST hewa, inter mirano, hewa,.. Kiufupi maskin humu ni wengi tu mbona[emoji4] ila wanajifanya matajiri hewa!!
 
huyu kasema ukweli, mungu ambariki apate zaidi ya hiyo alonayo!
humu kuna ndume zinamiliki IST hewa, inter mirano, hewa,.. Kiufupi maskin humu ni wengi tu mbona[emoji4] ila wanajifanya matajiri hewa!!
Utakufa mapema ba mdomo wako
 
Mimi nimekusoma kisaikolojia kbs;
Ulipokuwa gym kuna show imeshoweka humo[emoji16]
huo mlenda si shahawa mzee wangu[emoji848]
 
Mimi nimekusoma kisaikolojia kbs;
Ulipokuwa gym kuna show imeshoweka humo[emoji16]
huo mlenda si shahawa mzee wangu[emoji848]
 
Moja Kati ya dalili za ujauzito Ni kuanza kusikia harufu za vitu vya ajabu ajabu Kama harufu ya mlenda pori.
 
Watani zako wamekuwekea libwata 🤣🤣

Au ukute cobra katembelea kwenye kingo za sinki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom