Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
- Thread starter
- #41
Mbonaa una matus kwaio wanaume wananeba mimba sikuizMoja Kati ya dalili za ujauzito Ni kuanza kusikia harufu za vitu vya ajabu ajabu Kama harufu ya mlenda pori.
Mbonaa una matus kwaio wanaume wananeba mimba sikuizMoja Kati ya dalili za ujauzito Ni kuanza kusikia harufu za vitu vya ajabu ajabu Kama harufu ya mlenda pori.
Kawaida sana.Na bado.Utaja sikia harufu ya pilau au makande.Hellow guys
Leo nimetoka gym muda sio mrefu nimefika nimeangalia tamthilia yangu pendwa two brothers.
Baada ya kuisha nikaenda kuoga nimefika chooni nahisi harufu ya mlenda pori achana na mremba wa majani ya maboga ule mlenda pori unanukia balaa nikaona nikaoga nikamaliza
Sasa hapa bado nawaza je niite mganga aague au nikazane na maombi au nimebaki njia panda
Au ni kawaida
Hahahahaha eti tecno yakoSamahani mkuu mi naomba kuuliza, hivi kulikuwa na haja ya kusema Habari za kuangalia tamthilia tena hadi na jina lake au ratiba ya kutoka gym ndio uulize Habari za mlenda wako?
Ungesema tu umeingia bafuni ukasikia harufu ya mlenda kungekuwa na nini boss?
Anyway hatupangiani cha kuandika lakini, tecno ni yako na bando ni lako au vipi.
Tukija kwenye swali lako, kesho ukiamka asubuhi zunguka nyuma ya choo/bafu lako utakuta mlenda umeota huko kwenye ule ukijani ukijani wa maji yanayotoka bafuni
Lakin yanaudhunishaKuna mambo yanafurahisha sana...
Ana dharau angejua mimi nan asingesema ivyo kabisaHahahahaha eti tecno yako
Sure mkuuRudi gym
Wewe usiniambieKawaida sana.Na bado.Utaja sikia harufu ya pilau au makande.
Nakuambia.Wewe usiniambie
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siyo fairUmeogea dodoki la kuoshea vyombo.