Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

Nahiitaji ushauri kuna jambo linanisumbua

Na Mimi shangaa mjinga kama wewe unaishi duniani huna mchango wowote kwa familiar yako mpka Nchi lakini unadunda lakini Magufuli kafariki alikua nasaidia watu wengi, KWA NINI MUNGU HAJAKUCHUKUA MPUMBAVU WEWE KAMCHUKUA MAGUFULI 😡😡😡!.
Hahah bro stress zitakuja zikuue yaani umekaa hapo umeshajitengenezea picha namna navyofanana ninavyoishi na kama nina hasara kwa taifa au sina?

Humu hatupo kuthibitishiana ubora wetu ktk familia zetu au kwa taifa kila mtu ana maisha yake ni siri yake na mimi sitapingana na mawazo yako.
 
Ukichagua kusoma kwa siri, sharti uwe extra disciplined, hakikisha kazi zako kazini zinatekelezwa kwa kiwango cha juu, ukifanya kazi kwa ufanisi, hakuna bosi atakayekuwa na sababu ya kukuhoji, na hata wakikuhisi, watashindwa kukugusa kwa sababu haujawapa mwanya wa kukushika kwenye makosa ya utendaji.

Usijaribu kuwa na rarafiki yeyote wa karibu ofisini ambaye atafahamu kuhusu unachotaka kukifanya, ukimya ndiyo uwe ulinzi wako, soma, fanya mitihani, hitimu, na siku ukipata cheti chako ndipo utajua hatua gani inayofuata.

Kumbuka mfumo hautakujali kama utashindwa, kwa hiyo jali maisha yako kwanza focus on the goal usiwaze nambo ya ruhusa.
Hii mbinu nimeitumia nilitoboa masters yangu..

Ila kwenye masomo yangu undergraduate sikuwai sap ila kwenye post graduate degree nili sap mara moja

Kazi yangu ni busy mnoo + familia , muda wa kusoma tena masomo magumu hapa sizungumzii masomo ya social science unaweza ukaingia na point za kuchechemea ukajibu swali☺️😊

Unakumbuka ile slogan ya MAHUBIRI YALIYO JAZA VIPEPERUSHI DAR NZIMA IMANI, UPENDO NA MIUJIZA

ndio kilinitokea Mimi nili 🎓 graduate programs mzee kwa mbinde ile PESA nilitamani ningenunuaga hata BODA BODA zangu. Maana kwenye research nilipata supervisor mkuda mpaka ALIPO hamishwa ndipo NIKAPATA supervisor mzurii sana sanaa nilimaliza ndani ya muda

Inaitaji commitment sana kusoma ukiwa na KAZI NGUMU NGUMU
 
Hii mbinu nimeitumia nilitoboa masters yangu..

Ila kwenye masomo yangu undergraduate sikuwai sap ila kwenye post graduate degree nili sap mara moja

Kazi yangu ni busy mnoo + familia , muda wa kusoma tena masomo magumu hapa sizungumzii masomo ya social science unaweza ukaingia na point za kuchechemea ukajibu swali☺️😊

Unakumbuka ile slogan ya MAHUBIRI YALIYO JAZA VIPEPERUSHI DAR NZIMA IMANI, UPENDO NA MIUJIZA

ndio kilinitokea Mimi nili 🎓 graduate programs mzee kwa mbinde ile PESA nilitamani ningenunuaga hata BODA BODA zangu. Maana kwenye research nilipata supervisor mkuda mpaka ALIPO hamishwa ndipo NIKAPATA supervisor mzurii sana sanaa nilimaliza ndani ya muda

Inaitaji commitment sana kusoma ukiwa na KAZI NGUMU NGUMU
Shukran Mkuu na Mimi nitakua kama wewe
 
Hii mbinu nimeitumia nilitoboa masters yangu..

Ila kwenye masomo yangu undergraduate sikuwai sap ila kwenye post graduate degree nili sap mara moja

Kazi yangu ni busy mnoo + familia , muda wa kusoma tena masomo magumu hapa sizungumzii masomo ya social science unaweza ukaingia na point za kuchechemea ukajibu swali☺️😊

Unakumbuka ile slogan ya MAHUBIRI YALIYO JAZA VIPEPERUSHI DAR NZIMA IMANI, UPENDO NA MIUJIZA

ndio kilinitokea Mimi nili 🎓 graduate programs mzee kwa mbinde ile PESA nilitamani ningenunuaga hata BODA BODA zangu. Maana kwenye research nilipata supervisor mkuda mpaka ALIPO hamishwa ndipo NIKAPATA supervisor mzurii sana sanaa nilimaliza ndani ya muda

Inaitaji commitment sana kusoma ukiwa na KAZI NGUMU NGUMU
Hongera sana mkuu , hakika elimu inahitaji brutal discipline na uwezo wa ku manage burnout.
 
Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini.

Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six.

Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto wao.

Kituo changu ninachofanyia kazi kina nafasi. Nataka kujiunga mwaka huu nianze degree pasipo ruhusa kutoka kwa boss wangu.

ILA NATAKA KUSOMA KWA SIRI.

Naombeni ushauri wenu. Mwenye experience, mawazo na aliyepita kama hivi ninavyotaka kupita mimi, changamoto zake zilikuwaje?
usisome bila kibali cha mwajiri, itakugharimu ukigundulika
 
Sasa natimiza mwaka wa pili tangu niajiriwe serikalini.

Nataka kuongeza elimu maana niliajiriwa na Form Six.

Nafanya kazi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, nipo Zanzibar. Kwa mujibu wa kazi yangu, siruhusiwi kusoma mpaka nipate kibali kutoka kwa mkuu wangu, na hawakubali kutoa labda kwa watoto wao.

Kituo changu ninachofanyia kazi kina nafasi. Nataka kujiunga mwaka huu nianze degree pasipo ruhusa kutoka kwa boss wangu.

ILA NATAKA KUSOMA KWA SIRI.

Naombeni ushauri wenu. Mwenye experience, mawazo na aliyepita kama hivi ninavyotaka kupita mimi, changamoto zake zilikuwaje?
Mkuu kama nafasi zipo naomba uniunganishe mimi nifanye mimi hiyo kazi
 
Shukran Mkuu na Mimi nitakua kama wewe
Usisafirie nyota ya mwenzio. Chukua ushauri halafu ujiongeze na za kwako.
Nimewahi kuona polisi aliyeacha kazi na kujiunga masomo ya Sheria Ngazi ya Degree halafu akajiunga School of Law. Kwa sasa hivi ni Wakili msomi amejiajiri mwenyewe na Ofisini kwake wateja hawaishi. Mwombe Mungu akufungulie njia (kama ww ni mtu wa imani).
 
Usisafirie nyota ya mwenzio. Chukua ushauri halafu ujiongeze na za kwako.
Nimewahi kuona polisi aliyeacha kazi na kujiunga masomo ya Sheria Ngazi ya Degree halafu akajiunga School of Law. Kwa sasa hivi ni Wakili msomi amejiajiri mwenyewe na Ofisini kwake wateja hawaishi. Mwombe Mungu akufungulie njia (kama ww ni mtu wa imani).
Amina
 
Back
Top Bottom