Nakazia hii, haya maeneo yako poa sana akaribie mitaa hii.Nimeishi mwanza na Kahama miaka minne iliyopita.
Kwa Mwanza nenda Igoma au Nyakato sokoni, ukishindwa kabisa nenda Buswelu. Nauli ni 500 to town.
Kahama (ya Shinyanga)pia pako vizuri, japo muda mwingi nilikuwa pale kwa mabeberu lakini niliona mtaani mzunguko wa biashara ni mkubwa sana na mambo yanaenda. Just think about.
Jirani kabisa nipo Kabusungu hukuKaribu kwetu Ihale, Ichila, Nyawa,
Mabatini hata bure sikushauri kukaa.Asante sana mkuu kwa ushauri
Bugarika,Igogo,Mabatini ni karibu na City center unaenda kwa mguu kufanya shughuli zakoWakuu,
Nimeamua kubadilisha mazingira ya utafutaji kutoka Dar kwenda Mwanza.
Mwanzoni mwa mwezi wa pili natarajia kusafiri, naomba msaada wa kufahamu ni mitaa ipi nitapata chumba cha elfu 30 na kuna huduma za maji, umeme na usafiri wa kwenda mjini ni nafuu na wa uhakika, na hakuna vibaka na wahuni wengi.
Nawasilisha
Kwelii asiachee kututafta madalalii buhongwaKapange kirumbaa ama ghana waweza pata vyumba kwa bei hiyo na ni sehemu ya karibu na mjini,,,,,,,,,,ukitaka nje ya mjini nenda buhongwaaa maisha ni marahisi kuna soko la vyakula linalolisha sehemu kubwa ya Mwanzaa utajifunza mengi,na vyumba vipo vya bei hio ,nauli to town tsh400
Kila la kheri
Samahani mkuu kuna nini huko mabatini?Mabatini hata bure sikushauri kukaa.
Si ndio kulikuwa kunaitwa California ? crimes kibao sijajua miaka hii ya Magufuli hali ikoje.Mabatini hata bure sikushauri kukaa.
Sasa shughuli ya kufanya isimpe tabu alafu unaulizia mzunguko upo vipi ?Asante mkuu ila hilo la shughuli lisikupe tabu boss mimi nataka tu sehemu ya kukaa, yenye unafuu
Mafuriko nyakati za mvuaSamahani mkuu kuna nini huko mabatini?
California ni Nyegezi na sio Mabatini!!Si ndio kulikuwa kunaitwa California ? crimes kibao sijajua miaka hii ya Magufuli hali ikoje.
Okay ..California ni Nyegezi na sio Mabatini!!
Soma vizuri uzi wangu mkuu sijauliza mzunguko uko vipi,Sasa shughuli ya kufanya isimpe tabu alafu unaulizia mzunguko upo vipi ?
Zanzibar kunaweka kuwa na mzunguko ila huenda unaenda kuuza bia au kitimoto karibia na misikiti....
Migodini kunaweza kukawa kuna uhitaji wa madada poa na kinywaji ila wewe unaenda kutangaza injiri.....
Kwa waganga wa kienyeji huenda kukawa na uhitaji wa miti shamba ila wewe unaenda kuuza panadol...
Njoo igoma boss chumba 30000 na huduma zote muhimu zipo karibu na wewe nitakupangisha mwenyeweWakuu,
Nimeamua kubadilisha mazingira ya utafutaji kutoka Dar kwenda Mwanza.
Mwanzoni mwa mwezi wa pili natarajia kusafiri, naomba msaada wa kufahamu ni mitaa ipi nitapata chumba cha elfu 30 na kuna huduma za maji, umeme na usafiri wa kwenda mjini ni nafuu na wa uhakika, na hakuna vibaka na wahuni wengi.
Nawasilisha
Mafuriko.Samahani mkuu kuna nini huko mabatini?
Asante mkuuNjoo igoma boss chumba 30000 na huduma zote muhimu zipo karibu na wewe nitakupangisha mwenyewe
Bhabheja sana nkoyeJirani kabisa nipo Kabusungu huku
Na mm natafuta chumba mkuu,nipo igoma hapa,nnapoish kumekuwa na wanafunz weng wa tandabui mpka na mm nmrchuliwa kama ni mwanafunzNjoo igoma boss chumba 30000 na huduma zote muhimu zipo karibu na wewe nitakupangisha mwenyewe
Pamekaa kichoko sana halfu mvua ikinyesha ni mtafutano magondoro na vitu mtavikuta ziwani msipokua makini kiufupi hapafai tu bora igoma, nyakato n.kSamahani mkuu kuna nini huko mabatini?