Chief!Kwanini unaondoka Dar mkuu?, kama ni biashara imekuwa ngumu Dar basi sikushauri kabisa kuchomoka hapo. Labda kama una sababu tofauti au biashara unayoenda fanya Mwanza ina link na Dar hapo sawa
Ila vinginevyo, komaa na Dar tu.
Hela ipo kila sehemu, ni wewe Tu na jinsi utakavyojipanga