Nimefurahishwa sana na uamuzi wa majaji jana kuwa kushiriki uchaguzi kama mgombe binafsi ruksa.
Nategemea wiki hii kutangaza kugombea jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya mgombea binafsi.
Ninatarajia kurudi Dsm mwishoni mwa mwezi, karibuni kwenye mkutano wangu wa kujitangaza tarehe 10march, 2010 hoteli ya Rombo Green View kuanzia saa nne
Nimefurahishwa sana na uamuzi wa majaji jana kuwa kushiriki uchaguzi kama mgombe binafsi ruksa.
Nategemea wiki hii kutangaza kugombea jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya mgombea binafsi.
Ninatarajia kurudi Dsm mwishoni mwa mwezi, karibuni kwenye mkutano wangu wa kujitangaza tarehe 10march, 2010 hoteli ya Rombo Green View kuanzia saa nne
Mie nataka kumvaa mzee wa vijisenti hukoooooooooo Bariadi..wanaJF ntatoa contacts soon.
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.
25 divided by 5 is equal to 14.......lol
Nimefurahishwa sana na uamuzi wa majaji jana kuwa kushiriki uchaguzi kama mgombe binafsi ruksa.
Nategemea wiki hii kutangaza kugombea jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya mgombea binafsi.
Ninatarajia kurudi Dsm mwishoni mwa mwezi, karibuni kwenye mkutano wangu wa kujitangaza tarehe 10march, 2010 hoteli ya Rombo Green View kuanzia saa nne
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.