Nagombea Moshi Vijijini kama mgombea binafsi

Wana Jamvi nadhani ule umakini wa chama pamoja na wagombea wake utaanza kuonekana, viongozi wengi wa kuchaguliwa na wananchi kuanzia wenyeviti wa mitaa mpaka wabunge wamekuwa "irresponsible" na majukumu yao ili hali wakisubiri neema ya vyama vyao kuwateua tena kila baada ya miaka mitano. Asipotokea MWANANCHI makini kutetea wananchi wa jimbo la Arusha Mjini,nami nitatangaza rasmi kuwa mgombea binafsi wa jimbo hilo ambalo wananchi wake wanahitaji mabadiliko makubwa.
 
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.
Comment zingine .......kazi kweli kweli
eti mgombea binafsi ni mwoga, uvivu na ubinafsi.????
mwalimu makini huyu....
 
katiba ya mgombea binafsi itakuwa na mambo binafsi mengi kuliko mambo ya jamii. Ubinafsi utakuwa mwingi zaidi.

kama ilivyo sasa kwa CUF, CCM na wengine kama CHADEMA. So why not have a new player katika ubinafsi, if it is the way of life in Tanzania's politics????
 
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.

Kuna Nyakati na Mahali Mgombea anakubalika kuliko chama, siyo vyama vyote vina demokrasia ya kweli ndani yake.Ndiyo maana unaweza kuta mgombea mzuri ameachwa na mgombea wa kawaida akapitishwa.Na ndiyo maana wagombea wengine huama vyama na kushinda.Kuimarisha chama ni suala tofauti na kugombea nafasi katika uchaguzi.Kuimarisha chama hakungoji uchaguzi ni Process endelevu, kila siku, kila wiki, kila mwezi, kila mwaka.

Nimewasilisha.
 
Sioni umuhimu wa kugombea kama mgombea binafsi. Chagueni chama mkiimarishe sasa ili muwe mmeshiriki kujenga taasisi itakayotumiwa na watu wengine kuijenga Demokrasia nchini.
Kugombea kama mgombea binafsi ni dalili za woga, uvivu na ubinafsi.


One who stands alone is always the winner
 
samahani wanajamvi, nilikosea tarehe ya kujitangaza, wanasheria wamenishauri nitangaze rasmi tarehe 30 th march, 201o, na kutokana na ushauri wenu ninategemea kujitangaza katilka ukumbi wa mawela technical school, uliko uru mawela, karibu na usharika wa neema wakanisa la kilutheri au karibu na seminari ya uru, kwenye barabara kuu itoka yo moshi kwenda wild life college. nitatoa contact zote na matangazo kwenye magazeti very soon
 
samahani wanajamvi, nilikosea tarehe ya kujitangaza, wanasheria wamenishauri nitangaze rasmi tarehe 30 th march, 201o, na kutokana na ushauri wenu ninategemea kujitangaza katilka ukumbi wa mawela technical school, uliko uru mawela, karibu na usharika wa neema wakanisa la kilutheri au karibu na seminari ya uru, kwenye barabara kuu itoka yo moshi kwenda wild life college. nitatoa contact zote na matangazo kwenye magazeti very soon

tuko pamoja kaka
 
wakuu labda kuna kitu sijakielewa, katiba ya TANZANIA si inaruhusu mtu kugombea katika jimbo lolote hapa tanzania, naombeni msaada wa kunielewesha katika hilo ili nipate kufahamu nifanye nini..
 
Back
Top Bottom