Nimefurahishwa sana na uamuzi wa majaji jana kuwa kushiriki uchaguzi kama mgombe binafsi ruksa.
Nategemea wiki hii kutangaza kugombea jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya mgombea binafsi.
Ninatarajia kurudi Dsm mwishoni mwa mwezi, karibuni kwenye mkutano wangu wa kujitangaza tarehe 10march, 2010 hoteli ya Rombo Green View kuanzia saa nne
Nategemea wiki hii kutangaza kugombea jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya mgombea binafsi.
Ninatarajia kurudi Dsm mwishoni mwa mwezi, karibuni kwenye mkutano wangu wa kujitangaza tarehe 10march, 2010 hoteli ya Rombo Green View kuanzia saa nne