Nafikiria kutembea na house girl

Nafikiria kutembea na house girl

Utajuta ukitembea na huyo housegirl maana atataka achukue nafasi ya mke wako kwa kiburi.Utaanzisha mtafaruku ambao mwisho wake utakucost vibaya mnoo.[HASHTAG]#acha[/HASHTAG] ujinga
 
We Kama Umeamua Kula, Ww Kula Tu, Ukikamatwa Na My Wife Wako Usijekutulilia Humu.
 
Main switch ya kichwani imezima ni giza tu ...imebaki switch ndooogo ya jamaa with "LOH" (Lack of hair) hapo chini...hapo hata washaurije kama main switch kubwa haifanyi kazi hakuna namna
Nimekuja kuomba ushauri, nifanye nini kuondokana na mawazo haya na hatimaye kuyashinda matamanio ya mwili wangu?
 
Salaam wakuu,
Imetokea tuu from no where siku za hivi karibuni nimekuwa na mawazo na hisia za kufanya mapenzi na moja ya msichana wa kazi nyumbani kwangu.
Sijui nifanye nini kuyaepuka haya mawazo?. Huyu binti alikuja wa kawaida sana, lakini hivi sasa amenawiri kila kona ya mwili wake inashawishi. Mke wangu yupo, ila kwakweli yupo busy saana kiasi cha kwamba hata nikianza haka ka mchezo haitokuwa rahisi yeye kugundua.
Mi nakushauri umgonge huyo beki3. Na ukishamgonga hutasikia anakwambia naenda kusalimia nyumbani.... atanogewa hatari. Kumbuka hata Ibrahim wa kwenye bible alifumua beki3
 
Nimekuja kuomba ushauri, nifanye nini kuondokana na mawazo haya na hatimaye kuyashinda matamanio ya mwili wangu?
Sasa mjomba ikawaje ukaoa ukijua kichwa bado kichanga hakiwez kufanya maamuzi kwa vitu vidogo kama hivi....unajua kwa nn unaomba ushauri? Ni kwa sabab unajua haitakiwi kumla basi anzia hapo kuchukua hatua...otherwise ushukuliwe kwa thread
 
We Kama Umeamua Kula, Ww Kula Tu, Ukikamatwa Na My Wife Wako Usijekutulilia Humu.
Ooh my God,I really don't know what the hell is happening with me. I just seem not capable of resisting these fucking feelings.
Mbaya zaidi kuna siku niliipita eneo la chumba chake, hakujua kama nipo arround, alikuwa ametoka kuoga anavaa nguo na mlango wake ulikuwa wazi. Nilichokiona ni Mungu pekee ndo anaejua, bahati mbaya ile taswira inajirudia rudia kila wakati kumkichwa. Hakika huyu binti wa kirangi ataniletea matatizo aisee
 
Aisee hata mtu mwingine jirani na wewe asijejua unamtamani HG. Maana kwa hatua uliyofikia utaishia pabaya. HG anaweza apate chance ya kujiongezea salary na pa'puchi usile. Beware HG si wa sport sport.
 
Salaam wakuu,
Imetokea tuu from no where siku za hivi karibuni nimekuwa na mawazo na hisia za kufanya mapenzi na moja ya msichana wa kazi nyumbani kwangu.
Sijui nifanye nini kuyaepuka haya mawazo?. Huyu binti alikuja wa kawaida sana, lakini hivi sasa amenawiri kila kona ya mwili wake inashawishi. Mke wangu yupo, ila kwakweli yupo busy saana kiasi cha kwamba hata nikianza haka ka mchezo haitokuwa rahisi yeye kugundua.

Nadhani unataka kumwagiwa maji ya moto na huyo binti wa watu. Yakija mawazo hayo toka nje ukimbie kuzunguka uwanja wa mpira mara 10.
 
Kwa hatua uliyofikia, we mle tu ila usiache kutuletea mrejesho.
 
Basi kama unampenda achana na mawazo ya mfanyakazi wa ndani mkuu.
Shetani ni mtu mlaghai sana na anavishawishi vingi sana. Akishakukuteka atakuachia baada ya kufanikisha nia au matamanio yako ndipo akili zinakurudia kuwa hukumtendea mkeo fair.
 
Mkuu kwa huyu binti, hata ungekuwa wewe hakika usingehimili. Si unajua mabinti wa kirangi?. Hakika huu ni mtihani mgumu sana kupitishwa mbele yangu na maulana.
Mtafune bhana!!
Mimi wakwangu hiyo project nilishaikamilisha kwa ustadi mkubwa!!
Usipomla kuna jirani yako ambaye naye ana mke wake atamtafuna tu!!! Kula kwa umakini!!!
 
Pia hii tabia ya kuchovyachovya kila mahali si njema kwa wanandoa mkuu.
1. unabeba mikosi na laana unajikuta mambo yako hayaendi sawa wakati hapo mwanzo yalikuwa safi.
2. kama unaenda kumgegeda ana michango mikali hyo michango unaibeba ww mkuu na kumuamishia mkeo.
3. MAGONJWA.
NAKUSHAURI TULIA NA MKEO .
 
Back
Top Bottom