Nafikiria kufanya maamuzi magumu

Nafikiria kufanya maamuzi magumu

Tamalisa

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
2,542
Reaction score
907
habari za hapa,

mimi ni binti age 26yrs nafanya kazi ktk kampuni fulani hapa Dar, nina mchumba wangu tulipanga kuoana tangu mwaka jana nilipopeleka taarifa home wazazi wakawa wagumu kwa sababu nyingi sana ambazo kimsingi sijaona kama zina umuhimu sana. mambo yakawa magumu na hatimaye tukakubaliana mimi na mchumba wangu tusubiri hadi mwaka huu.
Sasa mwaka ndo huu umefika bado naona mambo c shwari sana. sasa tumepanga na huyu mtarajiwa kama watagoma nihamie kwake tu, sio siri hapa nina hali mbaya sana kimawazo,.

badae kidogo nitawaeleza kuhusu hili suala langu vizuri ili mnipe ushauri. ila sio siri nina waza kufanya maamuzi magumu sana yani mimi nihamie tu kwa mwanaume na hali nimewashemu wazazi, ila leo wao wananifanyia hivi.

pole ya mimi. soon nitwaeleza mwanzo mwisho.
 
hamia haraka sana.......mapenzi ni ya wawili....poor wazazi
 
wwe kabila gani???tuanzie hapo......
mwenzio ana hali gani kiuchumi???
then tutapata majibu ya wazazi kwanini wanakataa
 
Ni vizuri pia tukasikia maoni ya upande wa pili yaani wazazi.
 
wwe kabila gani???tuanzie hapo......
mwenzio ana hali gani kiuchumi???
then tutapata majibu ya wazazi kwanini wanakataa

wewe naona umekapture kitu tayali,

mimi ni muha, mwenzangu ana maisha ya kawaida ila mazuri na nimemzidi elimu, ila he is very intelligent ni vile tu wazazi wake hawakuwa na hela za kumpeleka shule, bt ni noma very wise na mipango kedede
 
habari za hapa,

mimi ni binti age 26yrs nafanya kazi ktk kampuni fulani hapa Dar, nina mchumba wangu tulipanga kuoana tangu mwaka jana nilipopeleka taarifa home wazazi wakawa wagumu kwa sababu nyingi sana ambazo kimsingi sijaona kama zina umuhimu sana. mambo yakawa magumu na hatimaye tukakubaliana mimi na mchumba wangu tusubiri hadi mwaka huu.
Sasa mwaka ndo huu umefika bado naona mambo c shwari sana. sasa tumepanga na huyu mtarajiwa kama watagoma nihamie kwake tu, sio siri hapa nina hali mbaya sana kimawazo,.

badae kidogo nitawaeleza kuhusu hili suala langu vizuri ili mnipe ushauri. ila sio siri nina waza kufanya maamuzi magumu sana yani mimi nihamie tu kwa mwanaume na hali nimewashemu wazazi, ila leo wao wananifanyia hivi.

pole ya mimi. soon nitwaeleza mwanzo mwisho.


mwaga habari yote............
 
Back
Top Bottom