Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
habari za hapa,
mimi ni binti age 26yrs nafanya kazi ktk kampuni fulani hapa Dar, nina mchumba wangu tulipanga kuoana tangu mwaka jana nilipopeleka taarifa home wazazi wakawa wagumu kwa sababu nyingi sana ambazo kimsingi sijaona kama zina umuhimu sana. mambo yakawa magumu na hatimaye tukakubaliana mimi na mchumba wangu tusubiri hadi mwaka huu.
Sasa mwaka ndo huu umefika bado naona mambo c shwari sana. sasa tumepanga na huyu mtarajiwa kama watagoma nihamie kwake tu, sio siri hapa nina hali mbaya sana kimawazo,.
badae kidogo nitawaeleza kuhusu hili suala langu vizuri ili mnipe ushauri. ila sio siri nina waza kufanya maamuzi magumu sana yani mimi nihamie tu kwa mwanaume na hali nimewashemu wazazi, ila leo wao wananifanyia hivi.
pole ya mimi. soon nitwaeleza mwanzo mwisho.
mimi ni binti age 26yrs nafanya kazi ktk kampuni fulani hapa Dar, nina mchumba wangu tulipanga kuoana tangu mwaka jana nilipopeleka taarifa home wazazi wakawa wagumu kwa sababu nyingi sana ambazo kimsingi sijaona kama zina umuhimu sana. mambo yakawa magumu na hatimaye tukakubaliana mimi na mchumba wangu tusubiri hadi mwaka huu.
Sasa mwaka ndo huu umefika bado naona mambo c shwari sana. sasa tumepanga na huyu mtarajiwa kama watagoma nihamie kwake tu, sio siri hapa nina hali mbaya sana kimawazo,.
badae kidogo nitawaeleza kuhusu hili suala langu vizuri ili mnipe ushauri. ila sio siri nina waza kufanya maamuzi magumu sana yani mimi nihamie tu kwa mwanaume na hali nimewashemu wazazi, ila leo wao wananifanyia hivi.
pole ya mimi. soon nitwaeleza mwanzo mwisho.