Nafasi za kujitolea JKT kwa vijana

Nafasi za kujitolea JKT kwa vijana

Status
Not open for further replies.
i don't thnk xo kwamba zimetoka coz hata kwnye website yao hamna na jesh huwa alifany siri kwenye michakato kama hii.take care when you post thread like this.
 
i don't thnk xo kwamba zimetoka coz hata kwnye website yao hamna na jesh huwa alifany siri kwenye michakato kama hii.take care when you post thread like this.
Mwaka gani nafasi za kujitolea zimetangazwa kwenye tovuti? Anyway! Why don't you do as instructed and see if its a lie? Sometimes you have to have a little faith and give a trial on what you hear! Ama unaogopa na kwenye ofis za mshaur wa mgambo wa wilaya utapeliwa? Then why not give a trial if you're interested!
 
Samahani mkuu hivi hapo kwenye umri watu wenye degree/shahada itakuaje?

Eti jamani umri wanabana sana mtu una degree yako na unataka ujitolee itakuaje

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ni swali zuri!
Mfumo wa JKT upo ivi, mafunzo ni miez 6 Kisha muda wa kuwa kambini ukijitolea ni miezi 3! Baada ya hapo, taasisi kadhaa za serikali ikiwemo JWTZ, TAKUKURU,UHAMIAJI, POLISI, MAGEREZA na ZIMA MOTO huja kwenye kambi za mafunzo kufanya recruitment kwa vijana wahitimu! Ukweli ni kwamba kwa mfumo wa sasa wa uajiri kama una ndoto ya kufanya kazi kwenye taasisi tajwa hapo juu, ni lazima upitie JKT. Kwa ufupi ni kwamba hakuna mwenye elimu ya kutosha (mf: certificate, diploma n.k) anaemaliza mafunzo ya awali JKT kisha anarudi mtaani. Am inside the system and that is my assurance.

Hope my dream is now on fire!!!
 
eti jamani umri wanabana sana mtu una degree yako na unataka ujitolee itakuaje

sent from my blackberry 8520 using jamiiforums

bora ukaangaike kwengine kuliko kupoteza wakati wako,kujitolea kwenye kupoteza muda baada ya hapo tunashukuru kwa kushiriki asante,na ukirudi unaanza moja ku haaso tena
 
nackia mafunzo ni magumu mpaka watu wengine wanakufa huko mafunzoni

kwenye mafunzo ya kijeshi 11% ya recrutes ikifa ni sawa. ndio standard za kimataifa. hata hivyo jeshi letu linaendesha mafunzo kwa standard na uangalifu wa hali ya juu. swala la kufa hata mtaani watu wanakufa, so just relax.
 
Bwana
Mtanza Mwenye Nia
Nina ndugu yangu amefeli form four 2012, umri miaka 22.
je? na yeye anaruhusiwa kisheria

Maana sitaki aendelee kumbaki mtaani,

jeshi la siku hizi sio jeshi la waliofeli. sera ya jeshi sasa hivi inasema "tunahitaji kujenga jeshi dogo la wasomi na wataalamu.." so kama amefeli arudie shule au afanye mambo mengine
jeshi sio dampo la walifeli.
 
Last edited by a moderator:
Mwaka gani nafasi za kujitolea zimetangazwa kwenye tovuti? Anyway! Why don't you do as instructed and see if its a lie? Sometimes you have to have a little faith and give a trial on what you hear! Ama unaogopa na kwenye ofis za mshaur wa mgambo wa wilaya utapeliwa? Then why not give a trial if you're interested!

Nina miaka 23 na miezi kadhaa, je nakidhi kigezo cha umri...?
 
Habari.

Napenda kuchukua nafasi hii kukutaarifu wewe kijana wa kitanzania kuwa nafasi za kujiunga na JKT (maarufu kama nafasi za kujitolea zimetoka)
Utaratibu upo kama ifuatavyo:

*Nafasi hizi zimetolewa kwa kila mkuu wa wilaya TZ
*Wakuu wa wilaya watazisambaza kwenye ofisi za kata wakitoa idadi elekezi kwa kila kata kama inavyohitajika
*Vijana wataomba kupitia kwa watendaji
Vigezo:

i) Uwe ni mtanzania
ii) Uwe na umri usiozidi miaka 23
iii) Uwe na afya njema
Kwa maelezo mengine fika katika ofisi ya mshauri wa mgambo wa wilaya ambayo inakuwaga ndani ya majengo ya ofisi za mkuu wa wilaya

JKT
Kwa uzalendo, Tujenge Taifa Letu

Hili tangazo ni la lini na nafasi hizo zipo wapi kaka mbona website yao haioneshi kama kuna nafasi za kujitolea mkuu naomba ufafanuzi samahan
 
when you give an information about anythng to pple just make sure you clarify you informatio don't make uncertainities to it.!ktk jesh hakuna kujaribu huu uzi ni wauongo acha kudanganya wa2 weka real sources na si kuwaambia wa2 wakajaribu
 
jeshi la siku hizi sio jeshi la waliofeli. sera ya jeshi sasa hivi inasema "tunahitaji kujenga jeshi dogo la wasomi na wataalamu.." so kama amefeli arudie shule au afanye mambo mengine
jeshi sio dampo la walifeli.

Uliza kwa faida yako, na mimi nimeuliza kwa faida yangu.
 
Uliza kwa faida yako, na mimi nimeuliza kwa faida yangu.

samahani ndugu daud kipara. umeuliza na mimi nimekupa jibu kadri nilivyokuelewa. kama nimekosea i am sorry, "to hell is human and to forgive is devine"
 
Hili tangazo ni la lini na nafasi hizo zipo wapi kaka mbona website yao haioneshi kama kuna nafasi za kujitolea mkuu naomba ufafanuzi samahan
Nadhan tangazo limejieleza wazi! ila kwa msaada nitakujuza tena
Kwa taarifa zaid tembelea ofisi za mshauri wa mgambo wa wilaya zinazopatika ndani ya majengo ya ofisi za wakuu wa wilaya!
 
when you give an information about anythng to pple just make sure you clarify you informatio don't make uncertainities to it.!ktk jesh hakuna kujaribu huu uzi ni wauongo acha kudanganya wa2 weka real sources na si kuwaambia wa2 wakajaribu

What is your level of education? Am real doubting your understanding capacity! Who said anything about uncertainity? I placed an advert containing infos instead of doing what is directed, you started pledging for what you want! I asked you a que, tangu lini nafasi za kujitolea zinaekwa web, you ddnt answer me!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom