Nafasi za kazi Qatar

Nafasi za kazi Qatar

wamataka wazaznibari waislamu kwasababu nyinyi mijitu ya bara ni wezi katika kazi na pia hamuaminiki ila wazanzibari ni waaminifuuuu!
 
uaminifu kazini?hyo ni laana 2 ya ubaguz wala msisingizie uaminifu kazin,achen ubaguz nyie Mungu alituumba 2pendane na sio kubaguana kama mnavofanya!na kitu uaminifu ni roho ya mtu sio dini wala kabila.
 
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Saa yaja ...... tena imekaribia upesi. kila mtu ashike sana alichonacho
 
Tangazo lenyewe tu linaonyesha kwa waliomaliza form four na form two.
 
HIZI NAFASI ZA KAZI qatar bado zipo,kama zipo tunaomba muongozo.

PAVU JUMA ABDALLA

ZANZIBAR.
 
fanya editing ya tittle ya hii thread uandike "ni kwa waislam tu" ili kupunguza wasomaji tusiohusika.
 
Haina kwere mie niko dar vipi then mie ni muslim mtani sevuje?
 
kesho mtasema waunguja tu, tena wawe wanavaa kininja zaidi...

tufanye bidii turudishe Tanganyika yetu, Tanzania sio moja,

Tanzania ziko nyingi tu!
 
wamataka wazaznibari waislamu kwasababu nyinyi mijitu ya bara ni wezi katika kazi na pia hamuaminiki ila wazanzibari ni waaminifuuuu!

1. Bara wanaishi WATU sio mijitu,inaonyesha jinsi gan ulivojawa chuki nafsin mwako na elimu wala utandawazi hajakufikia"narrow minded",sambaza UPENDO,chuki haukupeleki hata huko pepon unakodhan ww ndo uko perfect....2. Waznz wengi shule hawaend,so its cheap kwa wenye kiwanda pia,BARA weng wameenda shule hawawezi kwenda sindika ngano,tena kwa maendeleo ya nchi nyingine,,KUWA MZALENDO SAMBAZA UPENDO
 
Mbona mnaanza leta habari za udini na uraia????mna nia gani???
 
Back
Top Bottom