Investo
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 543
- 1,155
Wanakusanya pesa buku ten ten,za kutosha na hawayasomi Wala ninBad issue wanakwambia tuma kwa Posta yaan ukishasikia hivyo au ukiona tangazo lipo hivyo kaa mbali sana mita 1000
Wanakusanya pesa buku ten ten,za kutosha na hawayasomi Wala ninBad issue wanakwambia tuma kwa Posta yaan ukishasikia hivyo au ukiona tangazo lipo hivyo kaa mbali sana mita 1000
Kaa mbali hio ya kutuma kwa Posta watu washatumaga kitambo sana,Wanakusanya pesa buku ten ten,za kutosha na hawayasomi Wala nin
Kwan hawa mishahara Yao (posho) huwa ni ngapi Kwa mwezi?
Duh kumbe,Laki 4 uko tayar?
Achana nae huyo hajui lolote.Duh kumbe,
Amesahau Posho kilo3Achana nae huyo hajui lolote.
nikwel hata mie kuna jamaa alinambia ivo nafasi zimejaa ni chacheNafasi ni chache nafasi zimeshajaa
Kwa kuwa Sina mishe Acha Tu mzee wangu tukapambane by the way si Wanazingatia elimu ama wote ni laki nne?Laki 4 uko tayar?
Means baada ya posho zote Askari anaweza pokea ngapi Kwa mwezi!?Amesahau Posho kilo3
Sijui kwa kwelMeans baada ya posho zote Askari anaweza pokea ngapi Kwa mwezi!?
Pamoja mkuuSijui kwa kwel
Uhamiaj maslahi Yao ni Sawa na polisi kinacchotofautian ni mazingira na ugumu Kazi tuSijui kwa kwel
Nenda OFISINI kwao hao washapachika watoto wao na watu wao wa karibu wewe unasubiri lonja JFOya mwenye lonja za uhamiaji.
We endelea kuuma tu wenzio wana magofather na magodmother huko wanawapa vitengo tu, huna uza matunda mtaaniDah inauma asiee,😞😞😭
Umesema ATU nini? Nimekwambia huna godfathers au godmothers waliopo huko ndani basi jiongeze street choma mahindiAtuchuki mzee afu nitapata tuu