Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
 
Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
Madaraja yako ya juu. Hayawasaidii wanasema, halafu mpka leo wanamind kwann tuliwanyima majibu mkuu
 
au nitoe lonja nyingine,kuna 320
emoji344.png
halafukuna 3200+
emoji347.png
emoji338.png
Kaka hizi lonja mtu km mm Leo nakuna ndevu tu maan sielewi apo zinamaanisha nn
 
Kwamba wenye madaraja ya chini ya ufaulu ndiyo wanastahili kuwa polisi hapa Tanzania. Kwamba ndiyo hawa hawa wanatakiwa kufanya upelelezi na kuchukua maelezo ya watuhumiwa mbalimbali......aiseeee
Usahili wa juz Kuna mkoa wamechukua form 4 wote division 1 na 2 hakuna 3 wala 4
 
Sema hii technique yako nimeikubali yani ulikuwa unataka kujua maslahi ya hivi vyombo ila ukashindwa kuuliza direct, ukaona uzunguke kwa kujifanya unakandia chombo fulani ukijua fika kwamba kuna mtu atakuja tu kutoa ufafanuzi na utapata majibu unayoyataka, anyway usiamini sana kila kinachoandikwa humu mkuu hata mimi sijui maslahi ya hivi vyombo kwa sababu sipo huko mimi nilijiandikia tu
Hizo zote ni hisia.

Asante Sana Jadda! Nimekupata.
 
Njooni kwenye kazi za ulinzi ama security kazi za kiaskari kazi za lawama kazi za kiume...maisha yanakwemda huku ni mwezi wa tatu toka nizame zangu huku SGA Security...nahudumia wazazi/family kiaina mungu atasaidia mbeleni Mambo yatafunguka zaidi
 
Ajira za serikalini hizi za majeshi nadhani pengine sina bahati nako au ridhki yangu haijaandikwa huko,

Vijana tusichague kazi tusisite kufanya kazi kwa sababu zisizo na mantiki maisha ni popote hasa kwa siye wanaume
 
Njooni kwenye kazi za ulinzi ama security kazi za kiaskari kazi za lawama kazi za kiume...maisha yanakwemda huku ni mwezi wa tatu toka nizame zangu huku SGA Security...nahudumia wazazi/family kiaina mungu atasaidia mbeleni Mambo yatafunguka zaidi
mkuu SGA hapo bado wanachukua watu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom