Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

UT wamepata kibali January wanatangaza ajira haya nj Maneno ya Waziri Masauni akiwa jana TUCTA_UKONGA Kugunga kozi ya uongozi daraja la Pili na uongozi Daraja la juu kwa Maafisa wa Magereza
 
Kufanya kazi za ulinzi haimanishi umegive maisha au umegive kitu fulani hapana kiongozi kamanda.

Nadhani njia za utafutaji zipo nyingi halali tu,ni vyema ukafanya kazi ili maisha yasonge maisha ya kusubiri kazi ikiwa huna kazi ni maisha ya kudumaa kiakili hadi uanaume

Maisha yanataka utafute kwanza chaka kama ikitokea another bigger Chance than the first or currently you hold una piga chini unahamia kwengine.

Tusikate tamaa ila kazi tufanye kusubiri ajira siyo lazima kwamba lazima ajira upewe so tujiongeze tusikae tu mtaani
Nimekuelewa kamanda wangu....mhimu maokoto mengne yatajulikana mbele
 
Huko JW nasikia washaanza kupiga simu..

Nani mwengine aliyesikia hii Lonja?

Zafrain sag
Mwagabona
Jadda
Sijaisikia hii ila it could be possible and i was expecting that anytime soon, maana kama Military Science wameshaitwa basi kituo kinachofuata obviously ni Msata wale wa RTS, ronja niliyoipata ni kwamba course inaweza anza January au ikichelewa sana basi February so huu ndio muda wa simu na meseji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom