Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Polisi hawapoi kweli wale wenzao wa upande wa pili sijui kipi kinawafanya wasichukue watu.
Polisi Ndo Wasimamizi Wa Sheria Na Ndo Jeshi Linalosimamia Usalama Wa Raia Na Mali Zao... Depo Iliyotoka Mwezi Wa 3 Pamoja Na Depo Iliyopo Mafunzo Kwa Sasa Watasimamia Na Kusaidia Katika Mwendelezo Wa Uchaguzi Wa Wenyeviti Wa Vijiji Pamoja... Ndo Maana Polisi Wanapaswa Kuwa Wengi Zaidi
 
Wakuu samahani kila nikitaka kusign in nikiandika email naambiwa *this email was already taken" shida itakuwa nn maana nmetengeneza email nyingine lakin bqdo inasema ivyoivyo
 
Ndio hivyo kila mda kwenu vip uko??
Screenshot_20240519-181812_Chrome.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom