Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Na muende mkadoje na ccp sasa
Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu,gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.
 
Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu,gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.
Nimemuonesha dogo hii text anasema kwenye intake yao kuna mwana anajina la Anania ameacha legacy yake pale CCP ya utukutu na udoja pale yan kalala mahabusu kama Mara zote ila kamaliza course kibishi hivyohivyo ...usikute akawa ni yeye 😂😂😂
 
Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu,gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.
Tumemaliza intake iliyopita na mtu mwenye jina kama hili. Alikuw msumbufu haswa to the extent wakufunzi wakamzoea na akawa marafiki zake.Kati ya mtu mwenye bahati kumaliza course ni yule jamaa.

Mkifanikiwa kuingia CCP basi muache kabisa mentality za jkt.Kule ni mambo tofauti. Nidhamu muhimu sana. Na inawezekana ulikuwa unadharau training za polisi ila trust me... Polisi wako vizuri. Mtakutana na miamba kule.

Kila la kheri mpate nafasi ya kuingia chomboni.
 
Nimemuonesha dogo hii text anasema kwenye intake yao kuna mwana anajina la Anania ameacha legacy yake pale CCP ya utukutu na udoja pale yan kalala mahabusu kama Mara zote ila kamaliza course kibishi hivyohivyo ...usikute akawa ni yeye
huyohuyo baba,yey anapend sn kulivuna jeshi. Udoja bhn
 
Tumemaliza intake iliyopita na mtu mwenye jina kama hili. Alikuw msumbufu haswa to the extent wakufunzi wakamzoea na akawa marafiki zake.Kati ya mtu mwenye bahati kumaliza course ni yule jamaa.

Mkifanikiwa kuingia CCP basi muache kabisa mentality za jkt.Kule ni mambo tofauti. Nidhamu muhimu sana. Na inawezekana ulikuwa unadharau training za polisi ila trust me... Polisi wako vizuri. Mtakutana na miamba kule.

Kila la kheri mpate nafasi ya kuingia chomboni.
Duuuh!! Anania bhn,huyu kwel udoja ulikuw kwny damu.
 
Wakuu Kuna Mtu Jana Kaniletea Application Zake Bahati Mbaya Nimeibiwa Cm Naomba Anitafte
Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.

Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?

Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.

Document 4_2.jpg
 
Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.

Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?

Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.

View attachment 2456959
atakua kishoka mkuu??
 
Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.

Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?

Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.

View attachment 2456959
Mbinu aliyoingilia humu ni sawa na ile ya.... "Ile pesa itume kwenye namba hii" mshamba sana huyo jamaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu pccb haina fursa na maslahi kama immigration na hata pccb pindi waanapishwa mkuu wa mafunzo alisema anaomba utaratibu upatikane wa kuzuia maafisa pccb wanaokimbia ama kuhama kazi hiyo kwenda nyingine maada ya miaka 3 ya entry level. jaribuni kujiridhisha na hilo. kingine immigration ni miongoni mwa idara nyeti hata kuingia ndio maana pagumu kinoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom