Nafasi za JKT zinatoka lini?

Labda labda nyingi, ina maana hauna uhakika na unenalo, ni kweli hauna uhakika kwa kusema kwamba ni lazima op ziajiriwe wakat jkt haiajir ila inatoa mafunzo tu kisha watu wanasikilizia ajira ndani ya miaka miwili ya mkataba na kama hukupata ajira basi warud kwenu kwan si lazima muajiriwe wote.
hiv ni kwel watu wanaoongea kwa kugugumia hawachukuliw jeshin mdau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana mnalia sana oke ni hivi nafasi zitatoka kabla ya December thc year kwani kureport ni December, kila la heri vijana mtakaochaguliwa operation VIWANDA.
 
Vijana mnalia sana oke ni hivi nafasi zitatoka kabla ya December thc year kwani kureport ni December, kila la heri vijana mtakaochaguliwa operation VIWANDA.
vipi wataingia na madogo wa form 6 nini??? kama mwaka jana
 
Back
Top Bottom