hiv ni kwel watu wanaoongea kwa kugugumia hawachukuliw jeshin mdauLabda labda nyingi, ina maana hauna uhakika na unenalo, ni kweli hauna uhakika kwa kusema kwamba ni lazima op ziajiriwe wakat jkt haiajir ila inatoa mafunzo tu kisha watu wanasikilizia ajira ndani ya miaka miwili ya mkataba na kama hukupata ajira basi warud kwenu kwan si lazima muajiriwe wote.
Sent using Jamii Forums mobile app