Vipi swala la umri ukitaka kwenda jwtz au chombo kingine baada ya kumaliza kozi, mwisho miaka mingapiNaomben niwaambie vijana wenzangu sina haja ya kuwaficha najua jinsi gani mnavyohangaika usaili kama usail wilayani ni mwez wa 2 na tangazo litatoka tu kuweni wavumilivu.
Vipi swala la umri ukitaka kwenda jwtz au chombo kingine baada ya kumaliza kozi, mwisho miaka mingapi
Vipi swala la umri ukitaka kwenda jwtz au chombo kingine baada ya kumaliza kozi, mwisho miaka mingapi
Wewe ni mzee sana hautaweza kushika mafunzo!Vipi swala la umri ukitaka kwenda jwtz au chombo kingine baada ya kumaliza kozi, mwisho miaka mingapi
Kama huna cha kuongea unapiga kimya tu!Wewe ni mzee sana hautaweza kushika mafunzo!
Pamoja Mkuu!Tatizo lenu ni wavivu sana wa kutafuta mambo kwa nn msiwe mnafuatilia mnataka umri kila kitu muambiwe mpaka nafasi zikitoka mtumiwe pia pm acheni hizo kama unataka kuwa kamanda wa ukweli jitoe nenda kwa mshauri wa mgambo wilayani kwako muelezee shida yako atakufahamisha A to Z lakini si kila kitu uambiwe humu ndio siku unakuja kuambiwa nafasi zimetoka humu kumbe wenzako washakata mwezi kwenye mafunzo nawashauri ndugu zangu usichoke kwenda wilayani hasa kipindi hiki na msitarajie wilaya zote zitabandika tangazo kwa siku 1 kila wilaya itabandika kwa siku tofauti na deadline itakuwa pia tofauti tofauti.
Nilishakua mzalendo kabla yako na ndio maana baba nyange akanipa namba.
Simkatishi mtu tamaa, jeshini hatuna tabia ya kupepesa macho, mavi tunasema mavi na sio kinyesi.
Lifanyie hiyo reform, kama unahisi Ni kitu aste aste kama unacheza karate.Kama na wewe ni pot basi jeshi letu kuna ulazima lifanyiwe reform.
Unaniita!?nje ya mada...