Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Taarifa kutoka maeneo Furani; Ni kwamba kufikia jtatu
au Tarehe za Mwisho kabisa Mzigo unaweza kushushwa hvo ware Wa Mura na Vichana wote wanaowiwa kwenda kure waandae magamba yao
 
Mambo ya jeshi ni siri kila kitu huwezi kuambiwa kinafanyika lini watu kuweni wavumilivu muda ukifika jkt watapublish kwenye website yao
 
ni kweli aisee haina haja ya kujipa presha mda ukifika watatoa nafasi na mtakuja tu huku ....sema muwe mnaenda mara kwa mara wilayani kwa mshauri wa mgambo kuulizia
 
ni kweli aisee haina haja ya kujipa presha mda ukifika watatoa nafasi na mtakuja tu huku ....sema muwe mnaenda mara kwa mara wilayani kwa mshauri wa mgambo kuulizia
Mura wee uko huko siku nyingi ?
 
Yeah Kaka Aziz kaingia mtu naona hyu Mh. Kaondoka na wengine kibao kuteuliwa vitengo mbalimbali.
 
Maana ipo kiongozi hawawez wakatangaza nafasi ikiwa hawajauweka uongozi vizuri kutokana na waliostaafu ila kwa mambo yashaenda sawa vitengo wahusika tusubir ndugu zangu
 
Mambo ya jeshi huwa ni confidential sana...Hapa wanapita wanatuchora tu...
Muda ukifika yatawekwa bayana...
 
Maana ipo kiongozi hawawez wakatangaza nafasi ikiwa hawajauweka uongozi vizuri kutokana na waliostaafu ila kwa mambo yashaenda sawa vitengo wahusika tusubir ndugu zangu
Sawa Afandeeeeeeee!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom