Kila mtu anaongea lake kuhusu hizi mishe.. sema wenye taarifa sahihi ni JKT na ndo huwa wanatoa Tangazo! We hyo taarifa yako bado itakua tetesi tuu so usilazimishe watu wakuamin wakat hauna chanzo chochote cha habari kinachotoa usibitisho..Tatizo la watz wenzangu huwa hatutaki kuambiwa ukweli..me nimewaambia hii ishu ya jkt ni mpaka mwezi wa 6 au 7 baada ya budget,lakini nimeishia kutukanwa kwa kuitwa tapeli.poa,nyie endeleeni kupeana false hopes humu.ila ukweli ni kwamba operation magufuli itaanza kuchukua watu mwezi wa 6 au wa 7 mwanzoni.
umri mwisho miaka mingapi? maana kila mtu anakuja na mawazo yake ya umri hadi tunashindwa kujua umri kamili wa kwenda uko
Habari umeitoa wapi?kaeni tayari
mwezi huu wa january 2016 sidhani kama utakwisha bila kuanza kujiandikisha wilayani...
anzeni kuandaa vyeti vyenu original kuanzia cha kuzaliwa...
Asante mkuu maana kwenye umri ndo ilikua tatizo kujuamwongozo wa mwaka 2015 walio na degree umri ulikuwa mwisho 35yrs...
Mkuu nataka kujua kwa walioko dar inakuwaje coz changamoto in nyingi tujuzeni