Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Jamani wenye uelewa mtujuze maana huu si wakati wa masihara.vijana tunahitaji kulitumikia taifa.naomba vigezo vya umri na issue ya level ya elimu haswa.
 
1.cheti cha kuzaliwa
2.cheti cha form 4 nakuendele
3.Afya njema
4.Usiwe umeshakutwa na kosa la jinaii Na mambo kadha wa kadha

5.Usiwe unajihusisha na Ushoga hili linakaguliwa kwa Kuinama na Ones kama umewahi kuliwa Tundu huwa halirudi.


6.Uwe haujawahi Kutiwa hatiani kwa Makosa yoyote

7. Uwe haujaoa wala Kuolewa


8. Kwa msichana uwe hujawahi Kuzaa


9. Usiwe na Ulemavu wowote Kama Kitovu Kikubwa hauna Uvungu chini ya Unyayo n.k
 
5.Usiwe unajihusisha na Ushoga hili linakaguliwa kwa Kuinama na Ones kama umewahi kuliwa Tundu huwa halirudi.


6.Uwe haujawahi Kutiwa hatiani kwa Makosa yoyote

7. Uwe haujaoa wala Kuolewa


8. Kwa msichana uwe hujawahi Kuzaa


9. Usiwe na Ulemavu wowote Kama Kitovu Kikubwa hauna Uvungu chini ya Unyayo n.k

Umri vipi na je kama elimu ni zaidi?
 
Asante Rahim lkn je
Ni cheti chochote (points) cha kidato cha nne?
Vipi kigezo cha umri?
Masuala ya kimo yakoje?

Kuhusu kimo sikumbuki ni urefu gani bt sio kigezo kikubwa sana,Cheti cha div yoyote bt sio ZERO hapo uhakika wa ajira upo na darasa la saba wanapokelewa bt ajira hakuna ,Vilevile umri kuanzia 18 hadi 25kama sikosei
 
Asante Rahim lkn je
Ni cheti chochote (points) cha kidato cha nne?
Vipi kigezo cha umri?
Masuala ya kimo yakoje?

cheti cha ufaulu yaani mwisho div 4 na sio zero,Urefu sio kigezo kikubwa sana hii inaangaliwa kwenye vigezo vya kujiunga jeshi la polisi,Umri kuanzia 18 hadi 25kama sikosei
 
Kuhusu kimo sikumbuki ni urefu gani bt sio kigezo kikubwa sana,Cheti cha div yoyote bt sio ZERO hapo uhakika wa ajira upo na darasa la saba wanapokelewa bt ajira hakuna ,Vilevile umri kuanzia 18 hadi 25kama sikosei

kwa darasa la saba kama una fani ndio itakayokubeba
 
Kama wewe ni darasa la saba fani ndio itakayokubeba

Matangazo huwa yanapatikana ofisi za Mkuu wa mkoa....pitia sehem hizo nina uhakika utapata taarifa kamili au kama una ishi karibu na kambi za jeshi unaweza ukawauliza hao waheshimiwa utapata majibu ambayo yatakuongoza...Kila la kheri
 
Wanahisi huku JW Ni mdebwedo.. Acha watakaofanikiwa waje waone uchungu na ugumu wa kuitafuta posho

kama ni moyo wa mtu kapenda hakuna ugumu wowote wa kutafuta posho ila kama umekosa ajira na umelazimishwa ndio utauona ugumu wa kutafuta posho, pia usiwakatishe tamaa vijana wenye uzalendo na moyo wa dhati wa kutumikia nchi yao kila mwaka wenye uzalendo wanakosa nafasi wilayani lakin hawakati tamaa, kuwa mzalendo usiwakatishe tamaa.
 
hiyo jwtz yenyewe kwanza kuipata tu ni mbinde maana ikumbukwe 100% ya watu wote walioko kwenye makambi ya jkt wana ndoto za kwenda jwtz,ushndani ni mkubwa na vimemo ndio vinavyotembea tu huko.anway,wanakuja ga pia police,usalama,uhamiaji,bandari,bot,migodi na tanapa kukata bogi ila most of people kule jakata huwa hawako interested na hvyo vyombo wao akili zao ziko jwtz tu..
 
kama ni moyo wa mtu kapenda hakuna ugumu wowote wa kutafuta posho ila kama umekosa ajira na umelazimishwa ndio utauona ugumu wa kutafuta posho, pia usiwakatishe tamaa vijana wenye uzalendo na moyo wa dhati wa kutumikia nchi yao kila mwaka wenye uzalendo wanakosa nafasi wilayani lakin hawakati tamaa, kuwa mzalendo usiwakatishe tamaa.

Nilishakua mzalendo kabla yako na ndio maana baba nyange akanipa namba.

Simkatishi mtu tamaa, jeshini hatuna tabia ya kupepesa macho, mavi tunasema mavi na sio kinyesi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom