Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 220
- 134
Mambo vp wadau? Kuna tetesi zozote kujua ni lini nafasi zinatoka?
siku hizi jkt inatafutwa kama rubi kulikoni vijana? ama ndo kusema mmekuwa wazalendo zaidi au mwatafuta ajira tu?
Uzalendo tu
mbona hamuulizii nafasi za police???? au magereza???
mbona hamuulizii nafasi za police???? au magereza???
Jamani vigezo vya kujiunga na jkt ni vipi?
kigezo kikuu: usiwe na midevu kama Carl Max na makunyazi
kama hayo uliyo nayo usoni .
mbona hamuulizii nafasi za police???? au magereza???
1.cheti cha kuzaliwa
2.cheti cha form 4 nakuendele
3.Afya njema
4.Usiwe umeshakutwa na kosa la jinaii Na mambo kadha wa kadha