Hayo ndio manenotupo tunasubiri tangazo twende kwenye usaili jkt full stop...
Pamoja Kiongozimkuu Aziz walter nimekuelewa sana.
Nasikia harufu ya kutapeliwa humu😛😛endelea kusubiri nafasi za jkt kijana,ukitaka nikuunganishe pia unaweza kuniPM.
He he he... Na atawatapeli Kweli..Nasikia harufu ya kutapeliwa humu😛😛
Alikupiga sh.ngapi Mkuu na ni Askari Jeshi ama?mwaka 2014 nilikuwa niingie,nikapigwa pesa kadhaa ila aliye nipiga hakutumia akili maana kabadilisha namba ila nina data zake a to z nasubiri siku tu mashetani yanikolee nika mfire mkundu...
Kabisaaaaa, harafu Mkuu Aziz sijui kapotelea wapi!!!jaman tuendelee kupeana updates zaid ile tuweze kulitumikia taifa letu kwa utii wa hali ya juuu zaid