Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
alafu wenye shida muwe makini kuna matapeli hapa mtanyooshwa.......
wewe mtu humjui,hakujui wala hajakulilia shida unataka mwenye shida akuone umuunganishie,acheni ujanja ujanja...
 
Kuweni makini ndugu zangu kuna hadi form feki ankwambia unaenda mtabila mfano anakupa form lake ukifika getini tu unarudishwa ulipotoka
 
Kwa waliohitimu kozi, kwenda vyombo vingine vya usalama swala la umri linazingatiwa?
 
tupo tunasubiri tangazo twende kwenye usaili jkt full stop...
 
mwaka 2014 nilikuwa niingie,nikapigwa pesa kadhaa ila aliye nipiga hakutumia akili maana kabadilisha namba ila nina data zake a to z nasubiri siku tu mashetani yanikolee nika mfire mkundu...
 
mwaka 2014 nilikuwa niingie,nikapigwa pesa kadhaa ila aliye nipiga hakutumia akili maana kabadilisha namba ila nina data zake a to z nasubiri siku tu mashetani yanikolee nika mfire mkundu...
Alikupiga sh.ngapi Mkuu na ni Askari Jeshi ama?
 
jaman tuendelee kupeana updates zaid ile tuweze kulitumikia taifa letu kwa utii wa hali ya juuu zaid
 
jaman tuendelee kupeana updates zaid ile tuweze kulitumikia taifa letu kwa utii wa hali ya juuu zaid
Kabisaaaaa, harafu Mkuu Aziz sijui kapotelea wapi!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom