Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Kuweni na subira vijana, mambo yameiva,siku si nyingi kipyenga kitapulizwa.
 
mwaka juzi kuja 2015 pamoja na bajeti kuwabana,nafasi zilitoka mwezi wa 12...mwaka huu mbona wamechelewa hivi?
 
mwaka juzi kuja 2015 pamoja na bajeti kuwabana,nafasi zilitoka mwezi wa 12...mwaka huu mbona wamechelewa hivi?
Kuweni na uvumilivu vijana karibia zinatangazwa mtaweza jeshi kweli kama uvumilivu sasa hv mnakosa?
 
Tuonyeshe Tangazo la Jkt linalosema nafasi mwaka huu zitatoka mwez wa 6.. kama kuna mabadiliko yeyoye Tangazo lazma litoke
Hajui anachokisema anafikiri jeshi mipango huenda kwa cm tu kama hujui ni bora useme sijui tu hakuna atakayekucheka na usidhan kila mwanajeshi ana taarifa kamili za jkt anaweza akawa yupo kati na asiwe anafuatilia hayo mambo kuweni makini mtakuja kupigwa pesa.
 
Tuonyeshe Tangazo la Jkt linalosema nafasi mwaka huu zitatoka mwez wa 6.. kama kuna mabadiliko yeyoye Tangazo lazma litoke
nyie endeleeni kufarijiana tu vijana.ila me nimewaambia ukweli wa mambo kutoka kwa top wa hiyo jkt.maswali mengine yako nje ya uwezo wangu kuyajibu.
 
Yale yale hahahaha haya sasa mnaotaka kuunganishwa nendeni PM mkapigwe pesa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom