magufuli amezi cancell kasema nendeni kijijini mkalime, hizo nafasi hazipo hadi ipite miaka mi3.Hiv nafasi zitatoka mwezi huu kweli? Au ndo mwez wa 6 kama mwaka Jana..
magufuli amezi cancell kasema nendeni kijijini mkalime, hizo nafasi hazipo hadi ipite miaka mi3.Hiv nafasi zitatoka mwezi huu kweli? Au ndo mwez wa 6 kama mwaka Jana..
Mwaka jana hazikutoka mwezi wa 6, zilitoka kitu kama mwezi wa pili hivi. Ila kureport makambini ndo ilikuwa mwezi wa 6.Hiv nafasi zitatoka mwezi huu kweli? Au ndo mwez wa 6 kama mwaka Jana..
5.Usiwe unajihusisha na Ushoga hili linakaguliwa kwa Kuinama na Ones kama umewahi kuliwa Tundu huwa halirudi.
6.Uwe haujawahi Kutiwa hatiani kwa Makosa yoyote
7. Uwe haujaoa wala Kuolewa
8. Kwa msichana uwe hujawahi Kuzaa
9. Usiwe na Ulemavu wowote Kama Kitovu Kikubwa hauna Uvungu chini ya Unyayo n.k
Mbona kama una mashaka juu ya kukaguliwa? Au tayari ushapaharibu?duh hiyo namba tano ni kweli au ni uzushi tu wa mtaani maana nilianza kuisikia zamani sana
We hujui kwenda police inabidi upitie jkt?mbona hamuulizii nafasi za police???? au magereza???
Uwe unafatilia ktk website yao kila wakati au uwe unafatilia humu kila muda. Hakuna wa kukufata PM na kukwambia kuwa nafasi zimetoka.jamani jamani naombeni mnijuze zikitoka........hua naenda website yao sioni kitu
poa mkuu ntakua nacomment walau iji update website yao hua nacheki sana tuUwe unafatilia ktk website yao kila wakati au uwe unafatilia humu kila muda. Hakuna wa kukufata PM na kukwambia kuwa nafasi zimetoka.
Mkuu usaili wa nini tena?mwezi huu wa 1 piga uwa lazima nafasi zitangazwe ila kuripoti hapo ndo ngumu sana kukadiria maana mpaka wamalize usaili wilayani na mikoani...
Hapo ndo penye mchujo bob Usaili huanza ngaz ya wilaya then Mkoa..Mkuu usaili wa nini tena?
Mbna kauli yako chenga..Vijana,jana muhuga kanambia kuwa wamehairisha kuchukua vijana wa kujitolea mwezi huu coz of budget constraint,hvo basi wanatarajia kuchukua mwezi wa sita.
Muhuga ndo nani mkuu?Vijana,jana muhuga kanambia kuwa wamehairisha kuchukua vijana wa kujitolea mwezi huu coz of budget constraint,hvo basi wanatarajia kuchukua mwezi wa sita.
Meja General Raphael Muhuga mkuu wa jkt na si rahisi kuongea nae kama alivyosema huyo mkuu hapo juu.Muhuga ndo nani mkuu?
Yeye kasema kuwa ni mpaka mwezi wa 6.Meja General Raphael Muhuga mkuu wa jkt na si rahisi kuongea nae kama alivyosema huyo mkuu hapo juu.
Kuweni Serious bas kwa mnacho andika kama hujui jambo ni bora ukakaa kimya tu, unaijua ni sababu ipi mpaka hivi sasa nafasi hazijaachiwa au unaongea tu uliza kwanza.Vijana,jana muhuga kanambia kuwa wamehairisha kuchukua vijana wa kujitolea mwezi huu coz of budget constraint,hvo basi wanatarajia kuchukua mwezi wa sita.
Achana nae huyo hana anachokijua muda wowote nafasi zitaachiwa kaa tayari kuna sahihi ya kiongozi mmoja tu ndio inasubiriwa na sio ya Meja General MuhugaYeye kasema kuwa ni mpaka mwezi wa 6.
Sawa Mkuu, ngoja tusubiri. Hawa waliomaliza JKT washafanya usaili kwenye vyombo mbalimbali?Achana nae huyo hana anachokijua muda wowote nafasi zitaachiwa kaa tayari kuna sahihi ya kiongozi mmoja tu ndio inasubiriwa na sio ya Meja General Muhuga