swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Ukienda depo ukute wakufunzi ni la saba aisee wakagundua una midgree utasota mpaka unye labda siku hz.Natafuta sababu ya msingi niachane na idara hii familia nzima hawataki niwe kwenye idara hii maana jamii ilishaharibika hata ndugu zake utasikia"umeolewa na askali? Utapata ukimwi!! Heee.