Sawa mkuumishe zote zinaanza mwez wa pili mpaka matokeo ya form4 na ndugu zetu 4rm 6 watakavyomaliza so mwez huo jkt ndio wanafanya yao ni hvy tu.
Namba tano sijakuelewa halirudi wapiii yaani na kivipi5.Usiwe unajihusisha na Ushoga hili linakaguliwa kwa Kuinama na Ones kama umewahi kuliwa Tundu huwa halirudi.
6.Uwe haujawahi Kutiwa hatiani kwa Makosa yoyote
7. Uwe haujaoa wala Kuolewa
8. Kwa msichana uwe hujawahi Kuzaa
9. Usiwe na Ulemavu wowote Kama Kitovu Kikubwa hauna Uvungu chini ya Unyayo n.k
Wanaoliwa Jicho hawatakiwi jeshini.. hyo ndo point aliyongelea jamaa hapoNamba tano sijakuelewa halirudi wapiii yaani na kivipi
na wewe umeona mkuuWeb site ya JKT mbna imefungwa? Mzgo unataka utoke nin
kesho sio 22.02 ILA ni 22January 2016Kambi iliyokuwa bado kumaliza matunzo ya kabuku wana passout kesho 22.02.2016
Tutegemee mwezi wa 2 mchakato wa uandikishaji kuanza rasmi...
Huenda kweli mkuu,Sawa mkuu
Kijana ana mzuka mpaka anasahau tarehe!kesho sio 22.02 ILA ni 22January 2016
kumi mbona kama sijakuelewa mkuu.Kila mtu anaongea lake humu ... mnaofatilia msikatishwe tamaa na mitazamo ya watu.. mishe hata zitoke mwez wa 10 ukiwa unania unafanikisha ndoto zako tuu
Au sio wahitaji tuvute subira Tu , Kwan muda ukiwadia watatoa nafasiKijana ana mzuka mpaka anasahau tarehe!