Nina mifano kadhaa ya washkaji waliomaliza chuo..wakasota mtaani mwaka..then finaly wakaenda jeshini. Sio kwa kuwa wanapenda ila tu ndio the only opportunity wanayoona wanaweza kutoka..na kweli some of them wako emmigration mida hiiMnoel si kweli...
Na kama unakwenda kule baada ya kukosa cha kufanya hutoboi...Maana unaweza ukala
Msoto miaka 2 usipate ajira yoyote...
Kila mtu anaongea lake humu ... mnaofatilia msikatishwe tamaa na mitazamo ya watu.. mishe hata zitoke mwez wa 10 ukiwa unania unafanikisha ndoto zako tuu
Mbali Sanaaa.. Mtu Kama unamishe zako nyengne bora ufanye tuuThe News I heard so far ni kwamba kuingia JKT ni mwezi wa 7 ila asilimia kubwa sana nafasi zikatoka mwezi wa 2.