Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Ila kwa kwa wale wa form six au kwa mujibu sijui utaratibu unakuwaje kama anataka kurudi kujitolea...
 
Ila kwa kwa wale wa form six au kwa mujibu sijui utaratibu unakuwaje kama anataka kurudi kujitolea...
Form six(kwa mujibu) nafasi huwa zinatoka wanapo maliza mafunzo lakini mara nyingi huwa wanachukua walio soma sayansi.Kwaiyo ukimaliza mafunzo hautakuwa na nafasi tena ya kujiunga na jkt
 
Sisi mwaka 2013 tulihitajika kwenda lakini batch yetu ilikua ya 3 na mda wakufungua chuo ulikua ushafika so Wakatuambia tuandike barua ya ku postpone tukimaliza chuo tuende na mwezi wa 8 ndo tunamaliza vyuo, ivi hiyo nafasi bado ipo au ndo basi tena? Kwa anayejua plz
 
Sawa Tata Mura sisi tupo Vichana tunasubiria tunataka tukatumikie Hiri ritaifa retu mura.
 
Kana Mura Aleyn Kana nini kinakuchekesha Tata , sisi huiulhuku Musoma ndo Ongea Tata karibu Sana Musoma Tata Aleyn.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom