Mwaka huu kazi tunayo aiseee!!!Taarifa za kuaminika Toka kwa mzee moja yupo MJKT.. Nafasi znatoka mwez wa pili mwishon
Form six(kwa mujibu) nafasi huwa zinatoka wanapo maliza mafunzo lakini mara nyingi huwa wanachukua walio soma sayansi.Kwaiyo ukimaliza mafunzo hautakuwa na nafasi tena ya kujiunga na jktIla kwa kwa wale wa form six au kwa mujibu sijui utaratibu unakuwaje kama anataka kurudi kujitolea...
Vipi Mkuu, kuna tetesi umesikia?Nimeuliza kuna anayekaa wilaya ya kibaha mjini au anaweza kwenda wilayani?
faNya hivo mkuuKesho Mungu akipenda nitawajuza kitakachojiri mpaka nikomfirm kwanza
Mkuu unanichekesha sana, hujui tuu.Sawa Tata Mura sisi tupo Vichana tunasubiria tunataka tukatumikie Hiri ritaifa retu mura.