Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Nafasi za JKT 2016 zitatoka lini?

Status
Not open for further replies.
mbona mnakuwa wahaba wa kusubiri?kuna mambo ni kama pembe la ng'ombe hayafichikagi,yani wakati ukifika tu automatic utajua/pata taarifa.
 
Taratibu tu maneno yangu yatajidhihirisha,january ndo hiyo inakatika afu kimya mpaka leo.
 
Tarehe 28 mwez wa pili usaili unaanza..
Tuwe tunaandika mambo kwa kuangalia uhalisia, vp usaili uanze mwezi wa pili wakati operation muungano(waliojiunga 2014) bado wamejaa kwenye vikosi hawajaondoka kwenda kozi kwa asilimia kubwa?

kumbuka watu kwena jkt siyo lazima,lakini wanaangalia uhutaji wa vijana pamoja na uwezo wa kuwatunza, pia jua kipindi cha Kikwete vyombo vya ulinzi na usalama wameajiri watu kwa wingi kuliko awamu zote; hili ni awamu nyingine jaribuni kuangalia na mienendo ya Magufuli isijekua kama kipindi cha Ben kwa jkt.
 
kuna wakati kambi za malezi wamewahi kubanana mpaka OP3 wakisubiri ajira...
 
nataka kujiunga na j.k.t, nikishamaliza mafunzo mshahara wangu usiwe chini ya milioni mbili kwa mwezi .
 
jkt hakukufai...we nenda kaombe kazi BOT ndo kuna mishahara hiyo...
 
kabla ya usauli lazima kutolewe muda kwa ajili ya vijana kujiandikisha...usaili huwa ni zoezi la mwisho kabisa...
 
ukienda kwa ofisi ya Mshauri wa Mgambo hapo hapo wilayani ulipo,utapewa Maelekezo usaili unaanza lini...
 
Tumechoka kusubili
kama kusubiri tu umechoka,nna wasiwasi cjui kama ukienda uko jkt utaweza kusubiri zaidi ya mwaka mmoja kabla hujaenda kozi,anza kujifunza ukakamavu kwa mambo madogo kama haya ndugu yangu,kila kitu kinahitaji subra madhubuti,venginevo utakuwa unaishia njiani tu kwenye kuyaendea majambo yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom